Category: Siasa
Balozi za Tanzania aibu tupu
*Baadhi hawajalipwa mishahara miezi sita, zimeajiri Wakenya
*Ufaransa pango Sh milioni 720, wanatumia anwani ya Uganda
*Ofisi zinaporomoka, Kikwete asema Richmond imeiponza nchi
*Membe alia Serikali kukata bajeti yake ikabaki asilimia 44 tu
Sura na heshima ya Tanzania nje ya nchi inashuka kwa kasi kubwa, kutokana na Serikali kuzitelekeza balozi zake nje ya nchi.
Yapo mambo mengi ya aibu yanayowakumba mabalozi wanaoiwakilisha Tanzania nje ya nchi, kwani baadhi ya balozi zinashindwa kulipia huduma ya simu, maji, umeme na baadhi ya magari yanazimika na kuwashwa kwa kusukumwa kama ya uswahilini. Taarifa ya ziara ya Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Mambo ya Nje, Ulinzi na Usalama iliyotembelea balozi mbalimbali imeibua uozo wa ajabu.
Majaji maji shingoni
*Maelezo ya Jaji Ramadhani, Luanda moto
*Ripoti ya Ikulu nayo yataka waondolewe
*Lissu ataka wapime, kumshitaki Kikwete
*Amtaka Jaji Kiongozi Fakih Jundu ajiuzulu
Mhimili wa Mahakama umetikisika baada ya kuwapo ushahidi wa wazi kwamba Rais Jakaya Kikwete amevunja Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ya mwaka 1977, kwa kuwaongezea mikataba ya kazi baadhi ya majaji na kumpandisha cheo mwingine.
RIPOTI MAALUMU
Majaji ‘vihiyo’ watajwa
*Yumo aliyeshindwa kuandika hukumu miaka minne
*Wengine wagonjwa, hawajawahi kusikiliza kesi
*Yumo Jaji wa Mahakama ya Rufaa asiye na shahada
*Baada ya kubanwa sasa anasoma Chuo Kikuu Huria
*Wengine walikuwa mahakimu watuhumiwa wa rushwa
Wabunge waunga mkono msimamo wa Morocco
Bunge la Tanzania linaunga mkono msimamo wa Morocco katika kupata ufumbuzi wa mgogoro kati ya taifa hilo na taifa la Sahara Magharibi. Mwaka 1975 uliibuka mgogoro wa ndani kati ya Morocco na taifa la Sahara Magharibi linalotaka kujitangazia Uhuru. Mgogoro huu uliofanya Sahara Magharibi kujenga ukuta kama wa Berlin kule Ujerumani, umekuwa na madhara makubwa ndani ya taifa la Morocco.
Malawi waigwaya kipigo JWTZ
* Taarifa za kiintelejensi za Jeshi letu zawaogopesha
* Ndege za utafiti zaondolewa upande wa Tanzania
* Makamanda wasisitiza kuendelea kuulinda mpaka
* Waingereza walipotosha mpaka
Jeshi la Ulinzi la Wananchi wa Tanzania (JWTZ) linaendelea kuimarisha ulinzi katika mpaka wa Tanzania na Malawi, licha ya taifa hilo dogo lililopo kusini mwa Afrika kuonyesha nia ya kutotaka kuingia katika vita, lakini pia gazeti la JAMHURI limebaini chimbuko la historia ya upotoshaji katika mpaka wa nchi hizi.
JWTZ wasogea mpakani
Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa wa Tanzania, Bernard Membe, ameionya Serikali ya Malawi kuhusu mgogoro wa mpaka, katika kile kinachoonekana kuwa Tanzania ipo tayari kuingia vitani endapo itapuuzwa. Wakati Membe akitoa msimamo huo mkali bungeni jana, kuna habari kwamba wanajeshi na vifaa vya kijeshi wameshapelekwa karibu na eneo la mgogoro ajili ya kuimarisha ulinzi.
- Naibu Waziri Londo Atembelea Maabara za TBS
- St Anne Marie Academy yaahidi kuendelea kusomesha waliofiwa na wazazi
- Waziri Ndejembi awasili Shinyanga kwa ziara ya kikazi
- Waziri Chongolo asifu uwekezaji uwanja wa AFCON, ahimiza wananchi fursa za AFCON 2027
- Rais Samia aongoza Maadhimisho ya siku ya kumbukumbu ya mashujaa
Habari mpya
- Naibu Waziri Londo Atembelea Maabara za TBS
- St Anne Marie Academy yaahidi kuendelea kusomesha waliofiwa na wazazi
- Waziri Ndejembi awasili Shinyanga kwa ziara ya kikazi
- Waziri Chongolo asifu uwekezaji uwanja wa AFCON, ahimiza wananchi fursa za AFCON 2027
- Rais Samia aongoza Maadhimisho ya siku ya kumbukumbu ya mashujaa
- Taasisi za Umma zatakiwa kutokuwa kikwazo kwa wawekezaji
- Wananchi watakiwa kufuata sheria za usalama barabarani
- Shujaa wa vita ya Kagera afungua sanduku la historia, atoa somo kwa kizazi cha sasa
- Maafisa Usafirishaji wapewa elimu, vifaa kinga kukabiliana na ajali
- Mawaziri Afrika wakubaliana kufanya mageuzi kiuchumi, viwanda kuondoa vikwazo vya biashara
- RC Makalla afanya mazungumzo na Balozi wa Japani nchini
- Serikali kuimarisha ubora wa huduma wagonjwa mahututi
- Polisi Ngara wawafikia watoto yatima kupitia vituo vya malezi
- Madaktari bingwa wafanikisha kutoa uvimbe nyuma ya shingo ya mtoto wa miaka minne
- Makamu wa Rais afungua mkutano wa 15 wa mtandao wa watetezi wa haki za binadamu