Category: Siasa
Hotuba ya Lissu iliyolitikisa Bunge, Serikali
*Atoboa siri majaji wengi ‘vihiyo’, washindwa kuandika hukumu
*Aeleza namna wakuu wa wilaya walivyoteuliwa kwa rushwa
*Yumo mwingine aliyehukumiwa kwa ubaguzi wa ukabila
Ifuatayo ni sehemu ya maoni ya Msemaji Mkuu wa Kambi Rasmi ya Upinzani Bungeni, Wizara ya Katiba na Sheria, Tundu Lissu, kuhusu Mpango wa Makadirio ya Mapato na Matumizi ya Fedha ya Wizara ya Katiba na Sheria kwa Mwaka wa Fedha wa 2012/2013. Lissu alitoa maoni haya na kwa kiasi fulani yaliibua mjadala mkali bungeni, huku Serikali ikitaka aondoe baadhi ya maneno, na yeye akakataa. Endelea…
UTEUZI WA MAJAJI
Kambi Rasmi ya Upinzani Bungeni inatambua ukweli kwamba Rais Kikwete ameteua majaji wengi wa Mahakama Kuu ya Jamhuri ya Muungano kuliko marais wengine wote waliomtangulia kwa ujumla wao. Rekodi hii peke yake inaonyesha kwamba Rais anatambua umuhimu wa Mahakama Kuu kuwa na watendaji wa kutosha wa utoaji haki ili kutekeleza dira ya ‘haki kwa wote na kwa wakati.’
‘Majaji ndiyo waliomtuma Lissu’
Hotuba kali ya Tundu Lissu ya kukosoa uteuzi wa majaji dhaifu uliofanywa na Rais Jakaya Kikwete, imeelezwa kwamba ina baraka zote za baadhi ya viongozi waandamizi wa Mhimili wa Mahakama, JAMHURI limeelezwa.
HOTUBA YA WAZIRI WA ARDHI, NYUMBA NA MAENDELEO YA MAKAZI
DIRA YA WIZARA:
Kuwa na uhakika wa milki za ardhi, nyumba bora na makazi endelevu kwa ajili ya maendeleo ya kiuchumi na kijamii.
DHIMA:
Kuweka mazingira yanayofaa kuleta ufanisi katika utoaji wa huduma za ardhi, nyumba na makazi
Wapinzani wachekelea Pinda kugwaya
Kambi Rasmi ya Upinzani Bungeni imeeleza kufarijika na kauli ya Waziri Mkuu Mizengo Pinda kwamba kampuni ya Agrisol haijapewa ardhi ya Katumba na Mishamo mkoani Katavi.
Sasa umefika wakati wa vitendo-Tibaijuka
[caption id="attachment_195" align="alignleft" width="160"]
Profesa Anna Tibaijuka[/caption]Wizara ya Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi imesema kuanzia sasa inachofanya ni vitendo tu katika kukabiliana na wavunjifu wa sheria za ardhi, wakiwamo wavamizi wa maeneo yasiyoruhusiwa kujengwa.
- Waziri wa Fedha, RC Dodoma waangazia fursa za kiuchumi
- PBPA yahamasisha matumizi ya nishati safi ya kupikia
- RC Sendiga akabidhi jengo la ofisi ya DC Kiteto, bilioni 1.7/- zatumika kwa ujenzi
- Serikali yatumia zaidi ya trilioni 1.34 kuboresha huduma za afya msingi – Prof. Nagu
- Dk Kijaji akutana na Katibu Mkuu Shirika la Utalii la Umoja wa Mataifa
Habari mpya
- Waziri wa Fedha, RC Dodoma waangazia fursa za kiuchumi
- PBPA yahamasisha matumizi ya nishati safi ya kupikia
- RC Sendiga akabidhi jengo la ofisi ya DC Kiteto, bilioni 1.7/- zatumika kwa ujenzi
- Serikali yatumia zaidi ya trilioni 1.34 kuboresha huduma za afya msingi – Prof. Nagu
- Dk Kijaji akutana na Katibu Mkuu Shirika la Utalii la Umoja wa Mataifa
- RC Kunenge atoa rai kwa askari Polisi kuzingatia weledi, utii, haki na nidhamu
- Polisi Kata ya Nawenge awapa wanafunzi mbinu za kuepuka ukatili
- Watendaji wa uchaguzi watakiwa kusimamia uchaguzi kwa weledi
- Nkasi yapokea boti ya chanjo kuimarisha huduma mwambao ziwa Tanganyika
- Mtoto afariki kwa kusombwa na maji akivuka mto Rukwa
- Acheni Kutangaza Watu, Tangazeni Nchi – Makonda
- Serikali kuimarisha upatikanaji haki kupitia Kampeni ya Msaada wa kisheria Dodoma
- UNESCO, MAIPAC waja na mwongoza kwa wanahabari, watengeneza maudhui jamii za pembezoni
- Serikali yawasilisha mipango 1, 082 ya ushirikishwaji wa Watanzania sekta ya madini
- Pikipiki, Bajaji zisishikiliwe kwa makosa ya faini – Dk Mwigulu
Copyright 2025
Cookie Consent
We use cookies to improve your experience on our site. By using our site, you consent to cookies.
Cookie Preferences
Manage your cookie preferences below:
Essential cookies enable basic functions and are necessary for the proper function of the website.

