Category: Siasa
Hospitali ya Jeshi Lugalo kupandishwa daraja
Serikali imeaanza mipango ya kuipandisha Hospitali Kuu ya Jeshi la Wananchi wa Tanzania (JWTZ), Lugalo, kuwa Hospitali ya Rufaa, Bunge limeelezwa.
HOTUBA YA WAZIRI WA UJENZI
UTANGULIZI Mheshimiwa Spika, baada ya Bunge lako Tukufu kupokea taarifa iliyowasilishwa leo hapa Bungeni na Mwenyekiti wa Kamati ya Bunge ya Miundombinu, naomba kutoa hoja kwamba Bunge lako tukufu likubali kupokea, kujadili na kupitisha Mpango wa Maendeleo na Makadirio…
Vigogo wa bilioni 300 wakalia kuti kavu
Waziri Mkuu Mizengo Pinda amesema vyombo vya dola vimeanza kuchunguza taarifa za kuwapo kwa zaidi ya Sh bilioni 300 zilizofichwa katika benki nchini Uswisi.
Pinda ameliambia Bunge kuwa Serikali imepata taarifa hizo kupitia vyombo vya habari, na kwamba tayari wameanza uchunguzi na baadaye watatangaza matokeo.
Kashfa uporaji ardhi kubwa…
Pinda ahusishwa
*Mmoja wa washirika ajitoa kuepuka aibu
*Ni Chuo Kikuu cha Iowa cha Marekani
*Yabainika wanaleta teknolojia hatari nchini
Waziri Mkuu Mizengo Pinda, ameendelea kubanwa kuhusu uamuzi wake wa kuwasaidia Wamarekani kujitwalia ekari laki nane za ardhi kwa miaka 99 mkoani Katavi.
Anayetuhumiwa kumteka Dk. Ulimboka azungumza
*Ni Kamanda Msangi anyeongoza Tume ya kuchunza utekaji ulivyotokea
*Ujumbe wasambazwa kuwa ndiye alimpora simu ya mkononi na ‘wallet’
*Yeye asema amekatishwa tamaa, Professa Museru aeleza alichosikia

Askari anayetuhumiwa kumteka Mwenyekiti wa Jumuiya ya Madaktari Nchini, Dk. Stephen Ulimboka, Kamishna wa Polisi Msaidizi (ACP), Ahmed Msangi, amehojiwa na kuzungumzia kilichotokea kuhusiana na tuhuma kwamba aliambiwa arejeshe simu ya mkononi na pochi ya Dk. Ulimboka.
Habari mpya
- Baraza jipya la madiwani Bukoba laapishwa
- Utekelezaji mradi wa ‘BOLD’ wavutia wadau sekta kilimo
- RC Ruvuma afungua maktaba ya mkoa
- Wakili Mpanju: Jamii iwalinde, kuwezesha wenye ulemavu
- Waziri Mavunde, Perseus wajadili maendeleo mradi wa Nyanzaga
- TFS yaungana na nchi sita kuboresha ufuatiliaji hewa ukaa kupitia miti iliyo nje ya misitu
- Dk Nchimbi : Tanzania imedhamiria kulinda afya, maisha ya watu
- Jumuiya ya Maridhiano na Amani yawaonya wanaoleta mpasuko kwenye jamii
- Wanawake wafundishwa kutengeneza mbolea
- Serikali yaihakikishia Jumuiya ya Wawekezaji kuwa Tanzania ni nchi tulivu
- Prof. Silayo aaga AFWC25, atoa wito wa mageuzi makubwa
- Polisi wabaini mbinu za wahalifu mtandaoni wakihamasisha maandamano yasiyo na kikomo
- Wazee mkoani Pwani waunga mkono hotuba ya Rais Samia
- DPP yaondoa mashtaka ya uhaini kwa Niffer, Chavala
- Rais Dkt. Samia akutana na Naibu Mwenyekiti wa Biashara wa Jumuiya ya Madola na Baraza la Uwekezaji Ikulu jijini Dar
