JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Category: Siasa

CHAUMMA, CUF kuzindua kampeni za urais leo

Chama cha Ukombozi wa Umma (CHAUMMA) kinatarajia kuzindua kampeni za mgombea wake wa urais, Salum Mwalimu, pamoja na mgombea mwenza wake Devotha Minja, jijini Dar es Salaam leo. Kwa mujibu wa Mkurugenzi wa Habari na Taarifa kwa Umma wa CHAUMMA,…

CUF yaahidi kutoa matibabu na elimu bure 

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Mwanza Chama cha Wananchi CUF, kimesema endapo kitapewa ridhaa ya kuongoza nchi kitahakisha kinatoa huduma ya matibabu bure kwa wananchi wote katika hospitali za Serikali. Pamoja na kutoa elimu bure kuanzia ngazi ya awali mpaka chuo…

Balozi Nchimbi aanza kampeni Mara

Mgombea Mwenza wa Kiti cha Urais kupitia Chama cha Mapinduzi (CCM) Balozi Dkt Emmanuel John Nchimbi ametembelea nyumbani kwa Baba wa Taifa, Mwalimu Julius Nyerere, kijijini Mwitongo,Butiama na kuzuru kaburi la mwasisi huyo wa Tanzania na CCM. Dkt.Nchimbi ameingia mkoani…

Pingamizi dhidi ya uteuzi wa mgombea ubunge ACT-Wazalendo latupwa

Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi kupitia Ofisi ya Msimamizi wa Uchaguzi Jimbo la Meatu imetupilia mbali pingamizi dhidi ya mgombea ubunge wa ACT-Wazalendo, Bi. Rosemary Kasimbi Kirigini. Pingamizi hilo liliwasilishwa na mgombea ubunge wa jimbo hilo kwa tiketi CCM,…

Mgombea ubunge Jimbo la Mtumba kwa tiketi ya AAFP aipongeza INEC

Na Magrethy Katengu, JamhuriMedia, Dar es Salaam NAIBU Katibu Mkuu wa Chama Cha Wakulima (AAFP), Mark Isdory Mhemela ameipongeza Tume Huru ya Uchaguzi(INEC) kwa kusimamia vizuri zoezi la uteuzi wa wagombea kuanzia ngazi ya Urais,Ubunge na Udiwani. Akizungumza kwa njia…

Othman : Viongozi wa dini wana haki haki ya kuangalia haki, amani na utulivu

Mwenyekiti wa Taifa wa ACT-Wazalendo Mheshimiwa Othman Masoud Othman, amesema ni wajibu kwa viongozi wa dini kuangalia haki, utulivu na amani ya kweli, wanayoihitaji Wananchi wote, kwaajili ya Maendeleo ya Taifa zima. Amesema, viongozi hao ndio wenye dhima ya kuhakikisha…