JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Category: Biashara

Ulaji wa mpya waibuliwa

*Malipo ya ndege utata mtupu

*Wahusika wakalia kuti kavu

*Waziri Membe aingilia kati

 

Kukiwa na taarifa kwamba uongozi wa juu serikalini umeagiza kuchunguza ulaji wa mamilioni ya shilingi wakati wa Mkutano wa Majadiliano ya Kimataifa ya Ushirikiano kwa Manufaa ya Wote (Smart Partnership Dialogue), siri nzito za ufisadi zimeendelea kuanikwa.

Nchi imetafunwa!

*Hazina yatumia Shilingi bilioni 8, taasisi za umma

zachangishwa, ‘wajanja’ watafuna mamilioni

*Vifaa vya Obama vyaokoa jahazi, sare, mikoba, vyagharimu

mil. 400/-, vinyago navyo balaa!

*Karamu, chupa za kahawa, miavuli mil. 390/-,

Burudani ya muziki yatafuna milioni 195/-

*Dewji agoma kuchangia, Katibu Mkuu Haule

arushiwa kombora, yeye ajitetea

Mkutano wa Majadiliano ya Kimataifa ya Ushirikiano kwa Manufaa ya Wote (Smart Partnership Dialogue), uliomalizika hivi karibuni jijini Dar es Salaam, umeigharimu Serikali Sh bilioni nane.

TBS yaendelea kudhibiti bidhaa feki

Kaimu Mkurugenzi wa Shirika la Viwango Tanzania (TBS), Joseph Masikitiko, amesema shirika hilo limeteketeza nondo tani 500 zenye thamani ya Sh bilioni 8, baada ya kubaini hazina ubora unaotakiwa kwa ajili ya matumizi ya ujenzi.

Siku za Ekelege TBS zahesabika

Wakati wowote kuanzia sasa Mkurugenzi wa Shirika la Viwango Tanzania (TBS) aliyesimamishwa kazi mwaka mmoja uliopita, Charles Ekelege atapandishwa kizimbani kujibu tuhuma za rushwa na matumizi mabaya ya ofisi.

Mvutano uchinjaji Mbeya

Hivi karibuni kumezuka vurugu baina ya Wakristo na Waislamu katika mji wa Tunduma mkoani Mbeya, wakigombea uchinjaji mifugo ingawa siku zote Waislamu ndiyo wamekuwa wakitekeleza jukumu hilo.

Wafanyabiashara dawa za kulevya watajwa

Watanzania 235 wanaojihusisha na biashara haramu ya dawa za kulevya nje ya nchi, wamekamatwa katika kipindi cha mwaka 2008 hadi mwaka 2012.