JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Category: Biashara

NICOL yamsafisha Mengi

Kampuni ya Taifa ya Uwekezaji (NICOL), imemsafisha mfanyabiashara maarufu nchini, ambaye ni Mwenyekiti Mtendaji wa kampuni za IPP, Reginald Mengi kuhusu tuhuma za kuidhoofisha kampuni hiyo.

JAMHURI yafanikisha kukamatwa ‘majangili’

Wizara ya Maliasili na Utalii imewatia mbaroni watuhumiwa wa ujangili katika Kijiji cha Mkata, Wilaya ya Mvomero mkoani Morogoro.

Wasafirisha binadamu wahukumiwa Longido

Watanzania wanne wamehukumiwa kifungo cha miaka mitano jela kila mmoja, au kulipa faini ya Sh 5,000,000 kila mmoja baada ya kutiwa hatiani kwa kosa la usafirishaji binadamu. Pamoja na adhabu hiyo, gari lililotumika kwenye biashara hiyo haramu limetaifishwa na litapigwa mnada.

TANESCO yachachamaa, yasweka jela wezi wa umeme

Shirika la Umeme Tanzania (TANESCO) limechachamaa na kuanzisha operesheni kabambe inayoambatana na kuwasweka lupango wateja wake wanaoiba umeme.