JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Category: Biashara

Airtel Money kutoa Gawio Bil.1.5bn/- kwa Wateja,mawakala

Na Mwandishi Wetu,JamhuriMedia,Dar Kampuni ya simu za mkononi ya Airtel Tanzania imetangaza kuanza kugawa gawio la Tshs 1.5 bilioni kwa Wateja, Mawakala na Wadau kutokana na matumizi yao ya huduma ya Airtel Money . Akizungumza leo Septemba 22,2022 jijini Dar…

Ndalichako akagua mradi wa vijana,kitalu nyumba Singida

Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu Kazi, Vijana, Ajira na Wenye Ulemavu Profesa Joyce Ndalichako amekagua mradi wa Kitalu Nyumba wa kilimo cha mbogamboga na matunda wenye thamani ya Sh. 30 Milioni unaotekelezwa Manispaa ya Singiga. Akikagua mradi huo…

Serikali yazungumzia ongezeko la bei ya mahindi, mchele

Serikali imesema kuwa matokeo ya tathmini iliyofanywa katika kipindi cha mwezi Agosti 15 hadi na Septemba 15, mwaka huu yamebainisha ongezeko dogo katika baadhi ya bidhaa za vyakula hususan mchele, mahindi, na maharage. Aidha, kupanda kwa bei za bidhaa hizo…

Bolt,Uber kurejesha huduma Tanzania

Na Mwandishi Wetu,JamhuriMedia,Arusha Mamlaka ya Udhibiti wa Usafiri Ardhini (LATRA), imesema, kampuni za usafiri kwa njia ya mtandao Bolt na Uber zinatarajia kurejea kutoa huduma za usafiri nchini Tanzania. Hayo yamesemwa leo Jumatatu, Septemba 12, 2022 na Mkurugenzi Mkuu wa…

NMB yachangia mil.120/- kufanikisha mkutano wa ALAT

Na Mwandishi Wetu,JamhuriMedia,Mbeya Benki ya NMB imechangia kiasi cha shilingi milioni 120 kufanikisha maandalizi na kufanyika kwa mkutano mkuu wa 36 wa Jumuiya ya Tawala za Serikali za Mitaa (ALAT) wa mwaka huu unaonza jijini Mbeya. Akikabidhi mfano wa hundi…

Serikali yapokea bil.13.2/- kupunguza migogoro ya wanyama na binadamu

Na Mwandishi Wetu,JamhuriMedia,Ruvuma SERIKALI imepokea Euro milioni 6 sawa na shilingi bilioni 13.2 kutoka Shirika la Ujerumani la GIZ kwa ajili ya mradi wa kupunguza migogoro baina ya binadamu na wanyamapori hasa kwenye maeneo ya pembezoni mwa hifadhi. Hayo yamesemwa…