Category: Biashara
Serikali kurejesha ari ya usomaji vitabu nchini
Na Mwandishi Wetu,JamhuriMedia,Dar Serikali imesema itafanya jitihada za uhamasishaji wa usomaji wa vitabu nchini. Hayo yamesemwa na Naibu Katibu Mkuu wa Wizara ya Elimu, Sayansi na Teknolojia Prof. James Mdoe wakati akifunga tamasha la 31 la vitabu lililomalizika jana katika…
UNWTO wakoshwa na vitutio vya utalii Ngorongoro
Wajumbe kutoka mataifa mbalimbali walioshiriki mkutano wa 65 wa shirika la utalii la Umoja wa mataifa duniani (UNWTO) uliofanyika jijini Arusha kuanzia tarehe 5 hadi 7 Oktoba, 2022 wametembelea Hifadhi ya Ngorongoro na kufurahishwa na uwepo wa vivutio mbalimbali vya…
Wananchi wamiminika banda la RITA kupata huduma
Na Mwandishi Wetu,JamhuriMedia,Kibaha Wakazi wa Mkoa wa Pwani wamekuwa na mwitikio mkubwa wa kutembelea banda la Wakala wa Usajili Ufilisi na Udhamini (RITA), kwa ajili ya kupata huduma mbalimbali zikiwamo a vyeti vya kuzaliwa. Akizungumza na gazeti hili katika maonyesho…
Airtel Money kutoa Gawio Bil.1.5bn/- kwa Wateja,mawakala
Na Mwandishi Wetu,JamhuriMedia,Dar Kampuni ya simu za mkononi ya Airtel Tanzania imetangaza kuanza kugawa gawio la Tshs 1.5 bilioni kwa Wateja, Mawakala na Wadau kutokana na matumizi yao ya huduma ya Airtel Money . Akizungumza leo Septemba 22,2022 jijini Dar…
Ndalichako akagua mradi wa vijana,kitalu nyumba Singida
Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu Kazi, Vijana, Ajira na Wenye Ulemavu Profesa Joyce Ndalichako amekagua mradi wa Kitalu Nyumba wa kilimo cha mbogamboga na matunda wenye thamani ya Sh. 30 Milioni unaotekelezwa Manispaa ya Singiga. Akikagua mradi huo…
Serikali yazungumzia ongezeko la bei ya mahindi, mchele
Serikali imesema kuwa matokeo ya tathmini iliyofanywa katika kipindi cha mwezi Agosti 15 hadi na Septemba 15, mwaka huu yamebainisha ongezeko dogo katika baadhi ya bidhaa za vyakula hususan mchele, mahindi, na maharage. Aidha, kupanda kwa bei za bidhaa hizo…





