Category: Uchumi
UNESCO, WHC wakubali barabara NCAA-SENAPA
Shirika la Umoja wa Mataifa la Elimu, Sayansi na Utamaduni (UNESCO) na kituo cha Urithi wa Dunia (WHC) wameikubalia Mamlaka ya Hifadhi ya Ngorongoro (NCAA) ifanye upembuzi yakinifu wa barabara ya Lodoare-Serengeti.
Wanaume watelekeza watoto walemavu Arumeru
*Wanawake wasukumiwa mzigo
Tatizo la wanaume kuwatelekeza watoto wao wenye ulemavu, limetajwa kukithiri katika Kijiji cha Ambureni, Wilaya ya Arumeru, mkoani Arusha.
Utajiri wa Obama Sh bilioni 32
Dhana kwamba wanasiasa wanapaswa kuwa watu maskini huenda imepitwa na wakati. Rais wa Marekani, Barack Obama yeye na familia yake wanamiliki utajiri wa dola 19,225,070 sawa na Sh 31,529,114,800.
Ujio wa Obama wabadili mfumo Dar
Ziara ya Rais wa Marekani, Barack Obama, hapa Tanzania imebadili mfumo mzima wa matumizi ya barabara na shughuli mbalimbali jijini Dar es Salaam.
PPF yazidi kuchanja mbuga
Mfuko wa Pensheni za Mashirika ya Umma (PPF) umetangaza kuongeza fao la elimu kuanzia kidato cha nne hadi cha sita, ikiwa ni sehemu ya kusherehekea miaka 35 ya mfuko huo.
Wahadhiri TEKU watangaza mgomo
Hali si shwari ndani ya Chuo Kikuu cha Teofilo Kisanji (TEKU), baada ya uongozi wa Chama cha Wahadhiri wa Chuo hicho (TEKUASA) na wanachama wake kutangaza mgomo wa kutotunga mitihani ya kufunga mhula, inayotarajiwa kufanyika Julai mosi, waka huu.