Category: Uchumi
Makinda:Asilimia 93.45 za kaya Tanzania zimehesabiwa
Na Mwandishi Wetu,JamhuriMedia,Dar Kamisaa wa Sensa ya Watu na Makazi 2022, Anne Makinda amesema hadi kufikia Jumatatu ya Agosti 29, 2022,asilimia 93.45 ya kaya zote Tanzania zimehesabiwa huku taarifa zilizokwishakusanywa zikionesha kuwa ni asilimia 6.55 za kaya bado hazijahesabiwa. Makinda…
Sillo: Fedha za UVIKO 19 za Rais Samia zimejenga madarasa 78 Babati
Mbunge wa jimbo la Babati Vijijini Mheshimiwa Daniel Sillo, amesema ndani ya kipindi cha miaka miwili akiwa madarakani yapo mambo mengi ambayo yamefanywa na serikali katika jimbo hilo na bado mipango inaendelea. Mheshimiwa Sillo ambaye pia ni mwenyikiti wa kamati…
Tanzania kupokea balozi wa amani duniani
Na Grace Semfuko,JamhuriMedia Katibu Mkuu wa Wizara ya Utamaduni, Sanaa na Michezo Dkt. Hassan Abbasi amesema Tanzania inatarajia kuwa mwenyeji wa ujio wa Balozi wa Amani Duniani na Kiongozi wa kidini kutoka nchini India Bw. Gurudev Sri Sri Ravi Shankar…
NBS yaweka wazi Rais atakavyohojiwa siku ya Sensa
Ofisi ya Taifa ya Takwimu (NBS), imetangaza utaratibu ambao utatumika kuwahoji viongozi wa kitaifa wakiongozwa na Rais Samia Suluhu Hassan, katika Sensa ya watu na makazi, Agosti 23, mwaka huu. Taarifa iliyotolewa na Mtakwimu Mkuu wa Serikali, Dk. Albina Chuwa,…
Viongozi Kata ya Mchikichini watoa elimu ya Sensa
Na Mwandishi Wetu,JamhuriMedia, Dar Naibu Spika wa Bunge la Tanzania Mussa Azan Zungu ambaye pia ni mbunge wa Ilala amewaasa Watanzania kushiriki kikamilifu Sensa ili kutimiza lengo la Serikali kupata takwimu za msingi za watu na hali za makazi ambazo…
Sensa ya Makazi Agosti 23 tuhesabiwa wote kwa maendeleo
Sensa ya Watu na Makazi ni utaratibu wa kukusanya, kuchambua, kutathimini na kuchapisha na kusambaza takwimu za kidemographia, kiuchumi na kijamii kuhusiana na watu wote na makazi yao katika nchi kwa kipindi maalum. Kwa maana nyingine, sensa ni zoezi maalum…