JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Category: Kitaifa

Wawekezaji waigomea Serikali

DAR ES SALAAM Na Dennis Luambano Baadhi ya wamiliki wa hoteli na ‘campsites’ zilizopo mwambao wenye urefu wa takriban kilomita saba wa Hifadhi ya Taifa ya Ziwa Manyara iliyopo jijini Arusha wamegoma kuwasilisha serikalini nyaraka zinazoonyesha umiliki wa ardhi, kibali…

MKUTANO VYAMA VYA SIASA Kamati kumaliza matatizo

DODOMA Na Mwandishi Wetu Msajili wa Vyama vya Siasa nchini, Jaji Francis Mutungi, amepewa jukumu la kuunda kamati ya watu 10 kuratibu maazimio ya wadau wa siasa nchini. Amekabidhiwa jukumu hilo wiki iliyopita jijini hapa baada ya Baraza la Vyama…

Macho, masikio kwa Polepole

Na Mwandishi Wetu Dar es Salaam Miongoni mwa makada watatu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) walioitwa kujieleza mbele ya kikao cha Halmashauri Kuu, jina la Humphrey Polepole limegonga vichwa vya watu wengi. Pamoja na kwamba Askofu Josephat Gwajima na Jerry…

Mwinyi aibadili Z’bar

*Ajibu maswali magumu ya waandishi, afanya uamuzi mgumu kwa ujasiri *Afafanua uchumi wa bluu, awatoa wasiwasi wakaazi nyumba za maendeleo *Akabidhi visiwa 10 kwa wawekezaji, wanaoatamia ardhi kunyang’anywa *Asema mawaziri wanaoogopa waandishi inaashiria hawajafanya lolote Na Deodatus Balile, Zanzibar Rais…

Agizo la Rais Samia lawasha moto Bandari

*DG Eric asimamisha kazi wafanyakazi 13, orodha ya wahusika yatajwa Na Mwandishi Wetu, Dar es Salaam Wiki moja baada ya Rais Samia Suluhu Hassan kuagiza watu waliohusika na ununuzi wa mifumo iliyoiingiza Mamlaka ya Usimamizi wa Bandari Tanzania (TPA) katika…

Washinikiza Sambi aachiwe

#Waandamana hadi Ubalozi wa Tanzania mjini Moroni #Ufaransa, Ulaya, Uarabuni maelfu wasaini ‘petisheni’ NA MWANDISHI WETU DAR ES SALAAM Mamia ya wananchi ndani na nje ya Muungano wa Visiwa vya Comoro wamejitokeza kushinikiza kuachiwa huru kwa aliyekuwa Rais wa Muungano…