JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Category: Kitaifa

Mbunge aandaa jimbo lake kujitenga

MWANZA Na Antony Sollo Mbunge wa Jimbo la Sengerama mkoani hapa, Khamis Tabasamu, anawaunganisha wananchi, husasan wakulima wa pamba wa jimbo hilo kujiondoa kutoka Chama Kikuu cha Ushirika cha Nyanza (NCU). Hali hiyo inakuja kama maono ya Tabasama kuwa hiyo…

Mamluki wa CCM wakaliwa kooni

*Mtandao wa kumpinga Rais Samia ‘wafukiziwa moshi’ *Waahirisha vikao vya kupinga chanjo, waanza kuogopana *Askofu Gwajima atwishwa msalaba, Rais Samia aonya 2025 *Katibu Mkuu asema hakuna mkubwa kuliko chama, watajuta Na Mwandishi Wetu, Dodoma Baada ya kuchapisha habari za uwepo…

Virusi vingine hatari hivi hapa

DAR ES SALAAM Na Aziza Nangwa Wakati dunia ikiendelea na mapambano dhidi ya ugonjwa wa COVID – 19 unaosababishwa na virusi vya corona; virusi vinavyotambulika kama ‘Human Papilloma’ (HPV) vinatajwa kuwa ni hatari kwa binadamu. Mkurugenzi wa Huduma za Kinga…

‘Ajali za kutisha barabarani zimedhibitiwa’

DAR ES SALAAM Na Alex Kazenga Matukio ya ajali za barabarani yakihusisha magari, pikipiki, Bajaj, baiskeli, guta na watembea kwa miguu yamepungua kwa kiwango kikubwa nchini. Akizungumza na JAMHURI katika mahojiano maalumu, Kamanda wa Kikosi cha Usalama Barabarani, Kamishina Msaidizi…

RIPOTI UCHAGUZI MKUU Wanasiasa waunga mkono mapendekezo

DAR ES SALAAM Na Mwandishi Wetu Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) imemkabidhi Rais Samia Suluhu Hassan Ripoti ya Uchaguzi Mkuu uliofanyika Oktoba mwaka jana huku ikiambatanisha mapendekezo kadhaa ili kuimarisha ufanisi wa shughulu zake. Katika hafla iliyofanyika Ikulu jijini…

Kimewaka CCM

*Mtandao wa ‘mwendazake’ watajwa kumchimba Rais Samia kuelekea 2025 *Ulikusanya mamilioni wakati wa uchaguzi kutoka kwa wagombea ubunge, udiwani *Mfanyabiashara tajiri Kanda ya Ziwa atajwa kushikilia fuko la fedha zilizokusanywa *Mamluki waliounga mkono kushughulikiwa, watajwa kubadilika kulinda masilahi NA MWANDISHI…