Category: Kitaifa
Takukuru yanusa ufisadi fedha za ukimwi kwa makandarasi
Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa nchini (Takukuru) imefichua ufujaji wa fedha zinazotengwa na makandarasi kwa ajili ya kutoa elimu juu ya maambukizi ya virusi vya ukimwi kwa jamii inayozunguka maeneo yao ya miradi. Fedha hizo hutengwa na makandarasi…
NMB inavyoijali jamii inamofanya kazi
Hakuna sheria maalumu ya jumla nchini Tanzania inayozilazimisha kampuni kuchangia miradi mbalimbali ya kijamii. Licha ya sheria kuwa kimya juu ya kile kinachopaswa kufanywa na kampuni na wadau wa sekta za ziada katika kuwajibika kwa jamii kupitia CSR, zipo kampuni…
Siri ugomvi Dk. Kigwangalla, Profesa Mkenda hadharani
Chanzo cha ugomvi kati ya Waziri wa Maliasili na Utalii, Dk. Hamisi Kigwangalla, na Katibu Mkuu wa wizara hiyo, Profesa Adolf Mkenda, kimejulikana. Desemba 31, mwaka jana Rais John Magufuli akiwa mapumzikoni katika Hifadhi ya Taifa ya Kisiwa cha Rubondo…
Mauzo ya korosho bado pasua kichwa Pwani
Jitihada za serikali kuwatafutia wateja wakulima wa korosho za daraja la tatu mkoani Pwani zimegonga mwamba baada ya wanunuzi hao kupendekeza bei ambayo wakulima wameikataa. Kutokana na hilo, mnada wa korosho hizo za daraja la tatu uliofanyika wiki iliyopita umeshindwa…
TRA yaainisha mikakati ya kuongeza mapato
Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) imesema katika nusu ya pili ya mwaka wa fedha 2019/2020 itahakikisha inaongeza makusanyo ya kodi ili kuiwezesha serikali kutekeleza Dira yake ya Maendeleo ya Taifa kwa kutegemea mapato yake ya ndani. Akiainisha mikakati watakayoitumia kufanikisha…
Kisarawe wajipanga kukabiliana na mabusha
Watu 450 wilayani Kisarawe, mkoani Pwani wamefanyiwa upasuaji wa mabusha katika kambi maalumu iliyoendeshwa na madaktari bingwa wa upasuaji. Akizungumza na JAMHURI, Mganga Mkuu wa wilaya hiyo, Dk. Starford Mwakatage, anasema kuwa tatizo la mabusha wilyani humo ni kubwa na…