Category: Kitaifa
Watoa huduma za mawasiliano kushindanishwa
Mamlaka ya Mawasiliano nchini (TCRA) imeamua kutoa changamoto kwa watoa huduma za mawasiliano kwa kuanzisha tuzo ambazo zitaibua watoa huduma bora. Akizungumza na wahariri wa habari wiki iliyopita, Mkurugenzi Mkuu wa TCRA, Mhandisi James Kilaba, amesema tuzo hizo zinatarajiwa kuwa…
Bei mazao ya chakula yapanda
Bei za jumla za mazao mengi ya chakula zilipanda kwa kiasi kikubwa mwezi Januari mwaka huu ikilinganishwa na mwezi uliotangulia kutokana na kuongezeka kwa mahitaji yake kwenye baadhi ya nchi jirani, Benki Kuu ya Tanzania (BoT) imesema. Kuongezeka kwa bei…
Faida za mawakala wa benki zaongezeka
Kuongezeka kwa mawakala wa benki kwa zaidi ya mara 30 tangu mwaka 2013 kumesaidia kwa kiwango kikubwa kusogeza huduma za kifedha karibu na wananchi na kuifanya biashara hiyo kuwa chanzo kizuri cha ajira na mapato kwa kaya mbalimbali. Kwa hivi…
Utata balozi wa heshima
Utata umejitokeza kuhusu raia wa Tanzania anayejitambulisha kuwa na hadhi ya kibalozi, akiwa na hati mbili za kusafiria, ikiwamo ya nchi nyingine. Sambamba na hilo, pia ana majina yanayotofautiana katika hati zote mbili, lakini anasema hana kosa lolote. Hati…
Msalaba Mwekundu ‘shamba la bibi’
Chama cha Msalaba Mwekundu Tanzania (TRCS), kinakabiliwa na tuhuma za kulindana, kupeana na kupandishana vyeo kiholela, upendeleo, wafanyakazi hewa, kutolipa kodi kwa muda na kuajiri wataalamu wasio na sifa. Kuna mkanganyiko wa muda mrefu wa nani hasa mwangalizi wa Chama…
Wajasiriamali ‘waliteka’ jiji
Vitambulisho vya wajasiriamali vilivyotolewa na Rais Dk. John Magufuli mwaka jana vimeyageuza maeneo mengi katikati ya Jiji la Dar es Salaam kuwa masoko yasiyo rasmi, JAMHURI limebaini. Uchunguzi uliofanywa na JAMHURI na kuthibitishwa na baadhi ya watumishi wa Halmashauri ya…