Category: Kitaifa
Mwenyekiti kizimbani kwa rushwa
Na Aziza Nangwa Mwenyekiti wa Halmashauri ya Wilaya ya Mkuranga, Juma Abed, ametinga mahakamani akikabiliwa na mashitaka mawili ya kushawishi na kupokea rushwa. Mwendesha Mashitaka wa TAKUKURU, Euphrazia Kakiko, amesema wakati akisoma mashitaka dhidi ya mwenyekiti huyo kuwa mtuhumiwa Januari…
Ofisa wa Jeshi ajitosa kutetea wapagazi
MOSHI NA CHARLES NDAGULLA Kilio cha masilahi duni kwa wapagazi katika Mlima Kilimanjaro kimeendelea kusikika kwa makundi mbalimbali yanayopanda mlima huo mrefu kuliko yote barani Afrika. Safari hii Kanali Machera Machera wa Jeshi la Wananchi wa Tanzania (JWTZ) ameungana na…
Matumizi ya intaneti kupitia simu yaongezeka
DAR ES SALAAM NA MWANDISHI WETU Mapinduzi makubwa ya kimfumo na uwekezaji wa kutosha kwenye teknolojia mpya kumesaidia kupanua upatikanaji wa huduma za intaneti nchini katika kipindi cha muongo mmoja. Takwimu za kisekta zinaonyesha kuwa miaka kumi iliyopita watumiaji wa…
Daktari bingwa aonya homa ya ini
DAR ES SALAAM NA AZIZA NANGWA Daktari bingwa wa magonjwa ya ini katika Hospitali ya Taifa Muhimbili, Ewaldo Komba (pichani), amewataka Watanzania kujenga tabia ya kupima kama njia ya kuhakikisha kuwa haiwaathiri katika hatua za mwisho. Dk. Komba amesema ugonjwa…
Daraja lawatesa wakazi Mkuranga
MKURANGA NA AZIZA NANGWA Wakazi wa Kata ya Mipeko wilayani Mkuranga wameiomba serikali kusaidia ujenzi wa daraja linalounganisha eneo lao na vijiji vingine ili waweze kushiriki kwenye shughuli za kiuchumi na kijamii kwa unafuu. Wamebainisha kuwa mvua zilizonyesha hivi karibuni…
Kipilimba katika mgogoro wa ardhi
Balozi Dk. Modestus Kipilimba yumo kwenye mgogoro wa ardhi na baadhi ya wakazi wa Msakuzi, Mbezi Luis, Dar es Salaam wanaodai amewapoka maeneo yao kwa kutumia nafasi aliyokuwa nayo. Miongoni mwa wanaolalamika ni Rudolf Temba, ambaye amesema amedhulumiwa ekari 2.5…