Category: Kitaifa
Wapinzani wataweza kuungana 2020?
Ingawa vyama vya ACT-Wazalendo, NCCR-Mageuzi na CUF kwa nyakati tofauti vimebainisha haja ya vyama vya upinzani kuungana na kusimamisha mgombea mmoja katika Uchaguzi Mkuu utakaofanyika baadaye mwaka huu, hilo bado linaonekana kuwa jambo lililo mbali sana kuafikiwa. Hiyo inatokana na…
Vigogo Bodi ya Kahawa wahaha kujua hatima ya barua kwa DPP
Waliokuwa vigogo wa Bodi ya Kahawa Tanzania (TCB), wanaoshitakiwa kwa makosa 15 ya uhujumu uchumi na utakatishaji wa fedha, wamemwandikia Mkurugenzi wa Mashitaka nchini (DPP) wakiomba kukiri makosa yao na kutaka kurejesha mabilioni ya fedha wanayodaiwa kuyachotaka wakiwa watumishi wa…
Takukuru yanusa ufisadi fedha za ukimwi kwa makandarasi
Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa nchini (Takukuru) imefichua ufujaji wa fedha zinazotengwa na makandarasi kwa ajili ya kutoa elimu juu ya maambukizi ya virusi vya ukimwi kwa jamii inayozunguka maeneo yao ya miradi. Fedha hizo hutengwa na makandarasi…
NMB inavyoijali jamii inamofanya kazi
Hakuna sheria maalumu ya jumla nchini Tanzania inayozilazimisha kampuni kuchangia miradi mbalimbali ya kijamii. Licha ya sheria kuwa kimya juu ya kile kinachopaswa kufanywa na kampuni na wadau wa sekta za ziada katika kuwajibika kwa jamii kupitia CSR, zipo kampuni…
Siri ugomvi Dk. Kigwangalla, Profesa Mkenda hadharani
Chanzo cha ugomvi kati ya Waziri wa Maliasili na Utalii, Dk. Hamisi Kigwangalla, na Katibu Mkuu wa wizara hiyo, Profesa Adolf Mkenda, kimejulikana. Desemba 31, mwaka jana Rais John Magufuli akiwa mapumzikoni katika Hifadhi ya Taifa ya Kisiwa cha Rubondo…
Mauzo ya korosho bado pasua kichwa Pwani
Jitihada za serikali kuwatafutia wateja wakulima wa korosho za daraja la tatu mkoani Pwani zimegonga mwamba baada ya wanunuzi hao kupendekeza bei ambayo wakulima wameikataa. Kutokana na hilo, mnada wa korosho hizo za daraja la tatu uliofanyika wiki iliyopita umeshindwa…