JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Category: Kitaifa

Benki kubwa sasa nazo zajipanga kimkakati

Benki kubwa mbili nchini zimetenga mabilioni ya shilingi kwa ajili ya kusaidia utekelezaji wa miradi mikubwa ya kimkakati inayotekelezwa na Serikali ya Awamu ya Tano na zimesema zimejipanga vizuri kuchangia kikamilifu ujenzi wa uchumi wa viwanda. Moja ya benki hizo,…

Uchumi wa nchi uko imara – Majaliwa

Tanzania imeelezwa kuwa na uchumi imara unaoendelea kukua vizuri chini ya Serikali ya Awamu ya Tano, Waziri Mkuu Kassim Majaliwa ametanabaisha. Kwa mujibu wa waziri mkuu, uimara huo ni kati ya sababu lukuki zinazoifanya Tanzania kuwa chaguo la wawekezaji na…

Polisi wamtapeli kachero mstaafu

Maofisa wa Jeshi la Polisi nchini wasio waaminifu wamekula njama na kumwingiza matatani kachero mstaafu, Thomas Njama, ambaye kwa michezo yao ameshindwa kulipwa mafao yake Sh 47,162,559 tangu mwaka 2015, JAMHURI linathibitisha. Njama anapigwa danadana kama ‘kibaka’ wakati amelitumikia Jeshi…

ANNA WATIKU NYERERE

Binti mkubwa wa Mwalimu Nyerere asiye na makuu   Nimepanda daladala eneo la Posta, Dar es Salaam nikienda Kawe. Muda ni jioni, na kwa sababu hiyo abiria tumebanana kweli kweli. Tunapofika katika kituo cha Palm Beach, kondakta anamtaka dereva asimamishe…

TALGWU yapambana na malimbikizo ya mishahara

Katibu wa Chama cha Wafanyakazi wa Serikali za Mitaa (TALGWU) Mkoa wa Dar es Salaam, Ibrahim Zambi, ameiomba Wizara ya Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI) kuwabadilishia mishahara wanachama wake waliopandishwa madaraja katika mkoa huo. Zambi amedai tangu…

Mwendokasi mwarobaini chupa za plastiki

Shirika la Misaada la Uingereza (UKAID) kwa kushirikiana na Benki ya Dunia wamezindua kampeni ya matangazo ya mwezi mmoja kuhamasisha jamii mbinu za kukabili mafuriko. Kampeni hiyo itakayohusisha mradi wa mabasi yaendayo haraka (UDART), imezinduliwa katika kituo cha mabasi yaendayo…