Category: Kitaifa
USAID, JET wafunda wanahabari
“Watanzania hawajitangazi, wao wamekazana kutangaza wanyamapori na vivutio vya utalii peke yake, kama hatujitangazi kwanza sisi wenyewe, hawa wanyamapori mnafikiri wanatutangaza vyakutosha huko duniani?” Ni Maneno ya Dk. Ellen Oturu, Mratibu wa Miradi wa Chama cha Waandishi wa Habari za…
Benki yaibia wateja
Maofisa wa Bank of Africa (BOA) jijini Dar es Salaam wanadaiwa kughushi hati ya ardhi Na. 55709, Kitalu ‘C’, Ukonga Stakishari ya Jimmy Mwalugelo (68), mkazi wa eneo hilo na kuitumia kumkopesha mtu mwingine Sh milioni 500. Hati hiyo iliyoghushiwa…
Microchip yageuka gumzo Kenya
Baada ya Gazeti la JAMHURI kuchapisha taarifa kuwa mfanyabiashara, Mohamed Dewji, maarufu kama ‘Mo’ alikuwa na microchip mwilini iliyorekodi taarifa zote za watekaji, matajiri na wafanyabiashara nchini Kenya wameanza juhudi za kuwekewa teknolojia hiyo, JAMHURI limefahamishwa. Wengi wa matajiri wameona…
Kiongozi wa upinzani afungwa jela maisha
Kiongozi wa upinzani nchini Bahrain, Sheikh Ali Salman, amehukumiwa kifungo cha maisha jela baada ya mahakama ya rufaa kumkuta na hatia ya kuipeleleza nchi hiyo kwa niaba ya nchi ya Qatar. Hukumu hiyo inakuja miezi michache baada ya mahakama ya…
Microchip ya Mo
Watu waliomteka Mohammed Dewji, maarufu kama Mo, walidhani hawatafahamika ila inaonekana walikosea kusuka mpango wao wa utekaji na sasa mambo yameanza kuwatumbukia nyongo, JAMHURI limefahamu. Vyanzo vya habari kutoka Uingereza, Afrika Kusini, Marekani na hapa nchini vimeliambia JAMHURI baada ya…
Mtishia maisha vikongwe akamatwa Magu
Mkuu wa Wilaya (DC) ya Magu mkoani Mwanza, Dk. Philemon Sengati, ameamuru kukamatwa kwa mkazi wa Kijiji cha Shilingwa, Julius Makolobela, anayetuhumiwa kuwatishia maisha wananchi katika eneo hilo. Uamuzi wa DC Sengati umekuja siku moja baada ya Gazeti la JAMHURI…





