Category: Kitaifa
Kwanini Serikali inamiliki hisa chache kwenye kampuni
Na Mwandishi wa OMH Dar es Salaam. Serikali imesisitiza kuwa uamuzi wake wa kumiliki hisa chache katika baadhi ya kampuni nchini na nje ya nchi unalenga kushiriki katika maamuzi ya kimkakati na kuhakikisha uwekezaji wake, ambao kwa sasa umefikia Sh1.94…
Msajili wa Hazina afanya mazungumzo na Mwenyekiti wa Lifezone Metal
Na Mwandishi wa OMH Msajili wa Hazina, Bw. Nehemiah Mchechu, amefanya mazungumzo na Bw. Keith Liddell, Mwanzilishi na Mwenyekiti wa kampuni ya Lifezone Metals Limited, inayomiliki Tembo Nickel Corporation Limited kwa ubia na Serikali ya Tanzania kupitia Ofisi ya Msajili…
NMB yatoa bilioi 12.4 kwa wafanyabiashara 6,011
………………………………….. Jumla ya Sh12.4 bilioni zimeshatolewa na Benki ya NMB kwa zaidi ya wafanyabiashara 6,011 ambapo wanufaika wamepewa Elimu ya fedha na uongozi. Takwimu hizo zimetolewa na Meneja Mwandamizi idara ya Biashara za Serikali Amanda Feruzi kwenye mkutano wa Jumuiya…
‘Dk Samia anastahili kura za ndio’
Katibu Mkuu mstaafu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Dkt. Bashiru Ali, amesema kuwa Mgombea Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia CCM, Dkt. Samia Suluhu Hassan, anastahili kupigiwa kura za ndiyo katika Uchaguzi Mkuu utakaofanyika kesho Oktoba 29, 2025,…
Kikwete : CCM si chama cha maneno maneno bali ni chama cha vitendo
Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) na Rais mstaafu wa Awamu ya Nne wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete, amesema CCM si chama cha maneno maneno bali ni chama cha vitendo, akisisitiza kuwa chama hicho kitaendelea…





