Category: Kitaifa
Mgombea udiwani Kata Tandika kwa tiketi ya CCM ahaandi kushughulikia kero ya michango shuleni
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMediaDar es Salaam Mgombea udiwani Kata ya Tandika Uzairu Abdul Athumani kupitia tiketi ya Chama cha Mapinduzi CCM amewaahindi wananchi endapo watampatia ridhaa ya kumpa kura za kishindo Oktoba 29,2025 atahakikisha anatatua kero zinazowakabili ikiwemo michango sumbufu…
Kingu awaombea kura za wagombea wa CCM Jimbo la Songea Mjini
Na Cresensia Kapinga, JamuhuriMedia, Songea Mwenyekiti wa Kamati ya Kudumu ya Afya na maswala ya Ukimwi ya Bunge la Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Elibariki Kingu, jana amezindua rasmi kampeni za Chama Cha Mapinduzi (CCM) katika Jimbo la Songea Mjini,…
Kigogo ACT – Wazalendo Kigoma atimkia CCM
Na Kulwa Karedia,Jamhuri lMedia, Kigoma Mratibu wa Kanda Chama cha ACT Wazalendo, Said Rashid, ametangaza rasmi kuondoka na kujiunga na Chama Cha Mapinduzi (CCM). Amesema amefikia uamuzi huo baada ya kuvutiwa na utendaji wa serikali ya Rais Samia Suluhu Hassan….
Serukamba: Kigoma tumchague Samia
Na Mwandishi Jamhuri Media, Kigoma Mgombea bunge wa Jimbo la Kigoma Kaskazini, Peter Serukamba, ametoa wito kwa wananchi wa Kigoma kumchagua mgombea urais wa chama hicho, Samia Suluhu Hassan. Amesema hatua hiyo inatokana na kumpa kura Rais Samia kupeleka maendeleo…
Waziri Katimba aeleza mafanikio ya Rais Samia
Na Mwandishi Wetu,JamhuriMedia,Kigoma Mgombea ubunge wa Viti Maalum Mkoa wa Tabora na Naibu Waziri wa Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI) Zainabu Katimba, amewaomba wananchi wa Kigoma kumpa kura Rais Samia Suluhu Hassan kutokana na…
Bashiru awataka Tabora kulinda historia ya CCM
Na Mwandishi Wetu JamhuriMedia, Tabora Katibu Mkuu Mstaafu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Dk Bashiru Ally amewataka wananchi wa Mkoa wa Tabora kutunza vema historia yaChama hicho. Amesema mkoa huo una historia ya kipekeee kwani mwaka 1958 chama hicho kulifanya…