JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Category: Kitaifa

Machimbo Geita yanavyoathiri taaluma

Wakati sheria ya madini namba 14 ya mwaka 2010 ikizuia watoto kufanya kazi katika maeneo ya machimbo, hali imekuwa tofauti katika eneo la kijiji cha Ikandilo kata ya Nyaruyeye Halmashauri ya wilaya ya Geita. Katika eneo hilo watoto wamekuwa wakifanya…

Majonzi Bukoba

Tetemeko la ardhi lililotokea wiki iliyopita Mkoani Kagera, limeacha vilio na simanzi kubwa, huku baadhi ya familia zikiwapoteza wapendwa wao, uharibifu wa mali na wengine wakiachwa na ulemavu wa kudumu. Mpaka sasa, hofu bado imetenda. Kama wanavyosema kwa aliyeng’atwa na…

Mwekezaji kiwanda cha sukari apigwa danadana

Ndoto ya Tanzania ya viwanda inaonekana kuanza kuyeyuka kutokana na mwekezaji kusota kwa miaka kumi akihangaika kupata vibali ili awekeze katika ujenzi wa kiwanda cha sukari, Bagamoyo, mkoani Pwani. Uchunguzi uliofanywa na JAMHURI umebaini kuwa kampuni ya EcoEnergy ni kutoka…

JWTZ yasema utekaji si kisasi

Jeshi la Ulinzi la Wananchi wa Tanzania (JWTZ) limesema utekwaji madereva wa Kitanzania uliofanywa na kikundi cha waasi cha MaiMai nchini Congo  hauna uhusiano wowote na uwepo wa askari wa jeshi hilo nchini humo. Akizungumza na JAMHURI, msemaji wa Jeshi…

Wastaafu UDSM waendelea kusotea mafao

Wastaafu 638 wa Chuo Kikuu Cha Dar es Salaam (UDSM), wanaoidai Serikali zaidi ya Sh bilioni 23 za mapunjo ya mafao yao kwa zaidi ya miaka 20 wamemwomba Rais John Pombe Magufuli kufuatilia madai hayo. Watumishi hao waliostaafishwa kazi mwaka…

Wasomi wampinga Mbowe

Wakati wa Kiongozi wa Kambi ya upinzani bungeni, Freeman Mbowe akimtaka Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Kassim Majaliwa kukiri serikali kushindwa kuongoza nchi kutokana na kuwepo na viashiria vya kudorora kwa uchumi wasomi wamepinga kauli hiyo. Mbowe…