JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Category: Kitaifa

Gambo amuonya Lema kuacha siasa za propaganda

Mbunge wa Jimbo la Arusha mjini Mrisho Gambo,amemtaka Mwenyekiti wa Chadema Kanda ya kaskazini Godbless Lema kuacha siasa za propaganda badala yake atumie fursa hiyo kuhamasisha wananchi kujiandikisha kwa wingi kwenye daftari la wapiga kura ili wapate haki yao ya…

Vyama vya siasa vyakiri 4R za Rais Samia imeleta mabadiliko makubwa kisiasa

Na Magrethy Katengu, JamuhuriMedia, Dar es Salaam VIONGOZI wa Vyama vya CUF, UDP, NCCR Mageuzi na NLD wamesema wamevutiwa na namna Serikali ya Awamu ya Sita iliyo chini ya uongozi wa Rais Dkt Samia Suluhu Hassan ya mfumo wa 4R…

Rais Samia: SGR siyo ndoto tena

*Azindua treni ya kisasa, vituo vyapewa majina ya marais *Ni treni ya umeme ndefu kuliko zote Afrika, ya tano duniani *Tayari wamekusanya bilioni 3.1, umeme inatumia milioni 1 *Inasafirisha watu 7,000 kila siku, Mama Mosha atoa ya moyoni Na Deodatus…

CRDB yazidi kuwainua wanawake kiuchumi, yaweka akaunti maalumu ya Malkia

Na Tatu Mohamed, JamhuriMedia, Dar es Salaam KATIKA kuhakikisha inawainua wanawake kiuchumi, Benki ya CRDB imeendelea kuwawezesha kwa kufungua akaunti ya Malkia ambayo itakuwa ni yenye malengo yakinifu na manufaa kwa maendeleo kwa wanawake. Akizungumza katika banda lao lililopo katika…