Category: Kitaifa
Wananchi waipongeza JWTZ
Baada ya gazeti hili la JAMHURI kuchapisha habari kuwa Jeshi la Ulinzi la Wananchi wa Tanzania (JWTZ), limesambaza askari wake nchi nzima kuimarisha usalama na kupambana na baadhi ya watu waliotaka kulitia doa Taifa la Tanzania kwa kufanya mauaji ya…
Muswada wa ATI unahitaji maboresho
Muswada wa Haki ya Kupata Habari (ATI) uliowasilishwa bungeni wiki iliyopita umeboreshwa kwa kuulinganisha na miswada iliyotangulia awali, ila umebaki na makosa ya msingi yanayopaswa kufanyiwa marekebisho kabla ya kupitishwa bungeni, wadau wa habari wameshauri. Uchambuzi uliofanywa na wadau wa…
Wananchi waipongeza JWTZ
Baada ya gazeti hili la JAMHURI kuchapisha habari kuwa Jeshi la Ulinzi la Wananchi wa Tanzania (JWTZ), limesambaza askari wake nchi nzima kuimarisha usalama na kupambana na baadhi ya watu waliotaka kulitia doa Taifa la Tanzania kwa kufanya mauaji ya…
Tembo, faru hatarini kutoweka
Machafuko ya kisiasa katika nchi za Afrika na mapigano ya wenyewe kwa wenyewe, kumechangia kuzagaa kwa silaha za kivita katika baadhi ya nchi ikiwamo Tanzania, hatua iliyotajwa kuwa kichocheo kikubwa cha mauaji ya tembo nchini. Kauli hiyo imetolewa hivi karibuni…
Mifugo kuua Hifadhi ya Katavi
Hifadhi ya Taifa ya Katavi iko hatarini kutoweka, kutokana na kuingizwa kwa maelfu ya mifugo. Katavi ni Hafadhi ya Taifa ya tatu kwa ukubwa miongoni mwa hifadhi 16 hapa nchini. Hifadhi nyingine ni Serengeti, Ruaha, Mikumi, Milima ya Udzungwa, Milima…