JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Category: Kitaifa

Sigara feki zatinga Dar

Biashara ya magendo imechukua sura mpya, baada ya kubainika kuwa sigara zisizolipiwa ushuru tayari zipo katika soko la Dar es Salaam, uchunguzi wa JAMHURI umebaini. “Kwa sasa zinatumika mbinu mbili. Sigara za Export watu wanatengeneza makasha ya Portsman na SM….

Waziri Mkuu alivyopotoshwa Loliondo

Desemba 15, 2016 Waziri Mkuu Kassim Majaliwa alifanya ziara katika Wilaya ya Ngorongoro. Safari hii ililenga, pamoja na mambo mengine, kupata suluhu ya migogoro ya ardhi inayoendelea kwa miaka mingi sasa. Migogoro katika Tarafa ya Loliondo hailengi kitu kingine, isipokuwa…

Magufuli apigwa bil. 100

Juhudi za Rais John Pombe Magufuli kuongeza makusanya ya kodi zinahujumiwa, baada ya uchunguzi wa Gazeti la JAMHURI kubaini kuwa katika wilaya moja tu ya mpakani, anapoteza zaidi ya Sh bilioni 100 kwa mwaka. Uchunguzi wa kina uliofanywa na JAMHURI…

Mkenya ‘kihiyo’ aongoza shule ya kimataifa Dar

Raia wa Kenya asiyekuwa na sifa za ualimu ameajiriwa kuwa Mkuu wa Shule za Kimataifa za St. Columba’s jijini Dar es Salaam; JAMHURI limebaini. Shule hizo zinazomilikiwa na Kanisa la Presbyterian Church of East Africa, lenye Makao Makuu nchini Kenya,…

Jenerali Waitara awatumia salamu majangili

Mwenyekiti wa Bodi ya Shirika la Hifadhi za Taifa (TANAPA), Jenerali mstaafu George Waitara, amewatumia salamu wanasiasa na viongozi wa Serikali ambao, kwa namna moja ama nyingine, wamekuwa nyuma ya wahalifu wanaojihusisha na ujangili. Waitara amewataka wote wanaojihusisha na ujangili…

Dozi ya Waziri Mkuu kwa NGOs za Loliondo

Kwa miaka mingi, eneo la Loliondo katika Wilaya ya Ngorongoro mkoani Arusha, limekuwa kama ‘jamhuri’ ndani ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania. Eneo hili lenye utajiri mkubwa wa wanyamapori, limekuwa likiongozwa na asasi zisizo za serikali (NGOs) zenye nguvu za…