Category: Kitaifa
Nchi ilivyochezewa
Serikali ya Awamu ya Nne kupitia Wizara ya Maliasili na Utalii, ilibariki kampuni ya bilionea wa Kimarekani ya Wengert Windrose Safaris Tanzania Limited, kupewa uwekezaji wa kimkakati, kupitia vitalu vya uwindaji inavyomiliki, kikiwamo kimoja isichokimiliki kisheria. Agosti 20, mwaka jana,…
Uhamiaji Dar ni aibu
Idara ya Uhamiaji Mkoa wa Dar es Salaam inatuhumiwa kwa kukiuka sheria, taratibu na kanuni zinazosimamia idara hiyo, huku Kamishna wa Idara hiyo, Mkoa wa Dar es Salaam (RIO), John Msumule, akibebeshwa mzigo. Uchunguzi uliofanywa na JAMHURI umethibitisha pasi na…
JWTZ kazini
Jeshi la Wananchi wa Tanzania (JWTZ) limeingia kazini rasmi na kuahidi kushughulika na vitendo vyovyote vya kikatili vinavyoendelea hapa nchini, hasa mauaji yaliyotokea Mwanza na Tanga hivi karibuni. JWTZ wameamua kuimarisha ulinzi nchini kote kutokana na matukio ya mauaji hayo,…
EU wasisitiza mgombea binafsi
Jumuiya ya Ulaya (EU) imetoa ripoti ya waangalizi wa Uchaguzi Mkuu wa mwaka 2015 hapa nchini, na kutoa mapendekezo kadhaa, yakiwamo ya kuishauri Tanzania kuruhusu kuwapo wagombea binafsi. Pia EU wanashauri mabadiliko makubwa kwenye sheria, ili kuwapa fursa wagombea na…
Familia yailalamikia Mahakama Kuu Tanga
Mahakama Kuu kanda ya Tanga, inatuhumiwa na familia ya Ramadhan Athuman Mohamed, aliyehukumiwa kifungo cha miaka 20 jela kwa kosa la kula njama na kusafirisha dawa za kulevya katika Basi la Tawakal, kuwa haikumtendea haki. Familia ya mfungwa huyo ambaye…
Fedha zatafunwa Chuo cha Mandela
Uongozi wa Taasisi ya Sayansi na Teknolojia ya Nelson Mandela (NM-AIST) iliyopo jijini Arusha, unajitahidi kufanya kila linalowezekana kuficha vitendo vya ufisadi na matumizi mabaya ya madaraka katika chuo hicho. Hivi karibuni, uongozi huo umewasilisha serikalini kile kinachoonekana kuwa ni…