JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Category: Kitaifa

Kitwanga sikio la kufa

Mambo mapya yameibuka kuhusiana na kuvuliwa uwaziri kwa aliyekuwa Waziri wa Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi, Charles Kitwanga, aliyevuliwa wadhifa huo Mei 20, 2016 baada ya kuingia bungeni akiwa amelewa. Vyanzo vya habari vya uhakika vimeiambia JAMHURI kuwa…

Mbunge jangili

Wakati wabunge kadhaa wakijiandaa kukwamisha Bajeti ya Wizara ya Maliasiali na Utalii, imebainika kuwa miongoni mwao ni watuhumiwa wakuu wa ujangili. Wabunge hao wameunda umoja usio rasmi, kupinga kutekelezwa kwa Operesheni Taifisha Mifugo, iliyotangazwa na Serikali kupitia Waziri wa Maliasili…

Meneja Benki ya Ushirika K’njaro mikononi mwa Takukuru

Sakata la mikopo ya wajasiriamali 4,200 katika mikoa ya Kilimanjaro na Arusha, limechukua sura mpya baada ya Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa nchini (TAKUKURU) kumkamata na kumhoji Meneja Mkuu wa Benki ya Ushirika Kilimanjaro (KCBL), Elizabert Makwabe. Hatua…

JPM majaribuni

Sakata la sukari likiwa halijatulia, wafanyabiashara wakubwa wanatajwa kujipanga kumtikisa Rais John Magufuli, kwa kuhakikisha mafuta ya kula yanaadimika nchini. Tofauti na kwenye sukari, uhaba wa mafuta umepangwa mahsusi ili kujenga ushawishi wa wao kuendelea kuingiza mafuta ya kula ya…

Pori la Maswa lazidi kuvurugwa

Wakati uongozi wa Pori la Maswa mkoani Simiyu, ukituhumiwa kupokea rushwa kutoka kwa wafugaji na kuwaruhusu waingize mifugo ndani ya pori hilo, watuhumiwa wawili wamekamatwa na kuachiwa katika mazingira ya kutatanisha. Uchunguzi uliifanywa na JAMHURI umebaini kuwa waliokamatwa na kuachiwa…

Mamilioni yaliwa Chuo cha Mandela

Uongozi wa Taasisi ya Sayansi na Teknolojia ya Nelson Mandela (NM-AIST) iliyopo jijini Arusha, unazidi kuandamwa na kashfa mbalimbali. Safari hii imebainika kuwapo matumizi makubwa ya fedha kwenye ujenzi, utoaji zabuni na ununuzi wa vifaa. JAMHURI imethibitishiwa kuwa ujenzi wa…