JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Category: Kitaifa

‘Miujiza’ nyumba ya Serikali Mbeya

Dalali wa Mahakama, Japhet Kandonga, ameuza nyumba ya Serikali namba 162, kiwanja namba 1103 iliyoko Kitalu ‘S’ eneo la Mafiati Jijini Mbeya kwa Sh milioni 250 kwa mfanyabiashara maarufu wa Dar es Salaam, Saul Henry Amon, na kudai kwamba mnunuzi…

Forodha ya pamoja kukuza uchumi EAC – Nyamhanga

Serikali imejenga vituo vya kutoa huduma kwa pamoja mipakani (OSBPs) vinavyolenga kurahisisha taratibu za Forodha, Uhamiaji, usimamizi wa ubora wa bidhaa na huduma, ulinzi na usalama kwa watoa huduma hizo upande mmoja wa mpaka kwa nchi mbili husika. Katibu Mkuu…

Vigogo wagawana Tazara

Vigogo katika Mamlaka ya Reli ya Tanzania na Zambia (TAZARA), wameuziana nyumba katika utaratibu ambao mmoja wao amenunua nyumba 18. Ofisa Masoko, George Makuke, ambaye kwa sasa amestaafu, amenunua nyumba 18 eneo la Idiga. Ofisa mwingine, Ezekiel Hosea, amenunua nyumba…

TAKUKURU yawachunguza TBL

Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (TAKUKURU) imeanza kufanya uchunguzi wa kina kwa Kampuni ya Bia Tanzania (TBL) kuthibitisha habari za kiuchunguzi zilizofanywa na gazeti hili la JAMHURI na kubaini kuwa TBL wanatumia udhaifu wa sheria kukwepa kodi nchini….

Benki ya Ushirika K’Njaro matatani

Benki ya Ushirika Mkoa wa Kilimanjaro (KCBL) inakusudiwa kushitakiwa mahakamani kujibu tuhuma za kumdanganya mwanachama wa Benki ya Kijamii Vijijini (VICOBA) kuwa benki hiyo ingempatia mkopo wa Sh milioni 50. Mwanachama huyo, Vicent Mulamba, ameipa KCBL hati ya kusudio la…

Huawei wanasa mtego wa Serikali

Wizara ya Kazi, Ajira na Vijana imeanza kutekeleza agizo la Rais John Magufuli la kubaini wafanyakazi raia wa kigeni wanaoishi na kufanya kazi nchini bila vibali. Wiki iliyopita, viongozi wa wizara hiyo walivamia ofisi za kampuni ya mawasiliano ya Huawei…