JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Category: Kitaifa

Balozi Uholanzi aeleza umuhimu wa mabadiliko sheria ya habari

Na Stella Aron, JamhuriMedia,Dar BALOZI wa Uholanzi nchini Tanzania, Wiebe de Boer amelipongeza Jukwaa la Wahariri (TEF),kwa juhudi kubwa za kutoa elimu juu ya umuhimu wa maboresho ya sheria za habari nchini. Akifungua mafunzo kwa wahariri na wanahabari yanayoangazia uchechemuzi…

Wawekezaji Poland wanahitaji kuwekeza maeneo haya

Waziri wa mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Dkt. Stergomena Tax amewakaribisha wafanyabiashara na wawekezaji kutoka Poland waje nchini kuwekeza katika sekta mbalimbali ikiwemo ya uchumi wa bluu na madini. Waziri Tax ameyasema hayo,wakati akihutubia mkutano uliowakutanisha wawakilishi…

ACT-Wazalendo yamshauri Jaji Biswalo kujiuzulu

Na Mwandishi Wetu,JamhuriMedia, Dar Msemaji wa Sekta ya Katiba na Sheria ya ACT-Wazalendo, Victor Kweka kuwa amemshauri Rais Samia Suluhu Hassan kuunda tume ya majaji ili kupitia malalamiko ya wananchi waliolipishwa fedha kwa kukiri makosa na kulipa fedha serikalini. Hatua…

Tanzania mfano wa kuigwa duniani kwa kudhibiti mfumuko wa bei

Makamu Rais wa Benki ya Dunia wa Kanda ya Mashariki na Kusini mwa Afrika, Victoria Kwaka, ameipongeza serikali ya Tanzania chini ya Rais Samia Suluhu Hassan kwa kuleta “miujiza” kwenye uchumi. Kwaka ameipongeza Tanzania kwa utulivu wa uchumi wake wakati…