Category: Kitaifa
Kishindo IPTL
*Uongozi wa Bunge wahofia Pinda atajiuzulu
*Wakubwa wavuta milioni 100 hadi bilioni 8
*Jaji Werema, Tibaijuka wapumulia mashine
*Wafadhili wasitisha tirioni 1 hadi kieleweke
Serikali ya Awamu ya Nne chini ya uongozi wa Rais Jakaya Kikwete, kwa mara nyingine imekutana na mtihani mgumu ambako Waziri Mkuu wake, Mizengo Pinda yupo chini ya shinikizo la kujiuzulu kutokana na malipo ya karibu Sh bilioni 400 kwa Kampuni ya Independent Power Tanzania Limited (IPTL).
Madai ya Nyalandu na majibu ya hoja zake
Katika gazeti la Jamhuri la Jumanne Agosti 19 – 25, 2014 ISSN No. 1821-8156 Toleo No. 150, zilichapishwa taarifa potofu zenye kichwa cha habari;
KASHFA IKULU;
· Nyalandu atumia Leseni ya Rais kuua wanyamapori 704 bure,
· Watakaouawa wamo pia tembo 8, chui 8, Simba 8, ndege,
· Wauaji ni Wamarekani marafiki wa Waziri wa Maliasili.
Wakenya waingiza mifugo Hifadhi ya Serengeti
Huu ni mpango mahsusi wa kuharibu utalii wa Tanzania na kuvutia watalii katika mbuga ya Maasai Mara nchini Kenya.
JWTZ kurudi tena DRC
Makamanda wa wapiganaji shupavu wa Jeshi la Ulinzi la Wananchi wa Tanzania (JWTZ) wako mbioni kwenda Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo (DRC), kuimarisha amani.
Ujio wa Rais Putin balaa
Ulinzi mkali unatarajiwa kuchukua nafasi yake, Rais wa Russia, Vladimir Vladimirovich Putin, atakapozuru Tanzania mapema mwakani kutokana na ‘mbabe’ huyo kuwa na uhasama na Marekani.
Wakati wowote Rais Putin anaposafiri — iwe ndani ya Russia au nje ya nchi — ulinzi wake ni mkali na ulio kamili (almost absolute) kama ule wa Barack Obama wa Marekani.
Kikwete awakoroga wagombea urais
- Rais awateua sita kuwa wabunge, yumo Bashiru, Gwajima
- Waratibu wa kitaifa wa nchi za Jujuiya ya Ukanda wa maziwa makuu wakutana jijini Kinshasa
- Tanzania yaihakikishia dunia hali ya utalii iko salama
- Wakilia : Tundu Lissu hajafikishwa mahakamani kwa sababu za kiusalama
- Kawaida :Oktoba 29, 2025 imeacha majonzi na funzo kubwa kwa Taifa
Habari mpya
- Rais awateua sita kuwa wabunge, yumo Bashiru, Gwajima
- Waratibu wa kitaifa wa nchi za Jujuiya ya Ukanda wa maziwa makuu wakutana jijini Kinshasa
- Tanzania yaihakikishia dunia hali ya utalii iko salama
- Wakilia : Tundu Lissu hajafikishwa mahakamani kwa sababu za kiusalama
- Kawaida :Oktoba 29, 2025 imeacha majonzi na funzo kubwa kwa Taifa
- Zungu aibuka kidedea kinyang’anyiro cha uspika, Silo ashinda nafasi ya Naibu Spika
- Wakandarasi kufanya kazi saa 24 Mara
- Baba Levo kufanya mkutano wa shukran Kigoma Mjini
- Mabaki ya mwili wa Mtanzania Joshua Mollel yatambuliwa Israel, kurejeshwa nchini
- Mawakala 120 wa utalii kutoka Marekani wavutiwa na vivutio vya utalii Tanzania
- SADC wampongeza Rais Samia, Nchimbi asisitiza Tanzania kuendeleza amani
- Ujifadhi ndio moyo katika sekta ya utalii – Kamishna Badru
- Dk Tulia kujitoa kinyang’anyiro cha uspika kwazua mjadala
- Dk Tulia ajiondoa kugombea uspika
- ELAF yahimiza maridhiano na amani baada ya uchaguzi mkuu