Category: Kitaifa
Kishindo IPTL
*Uongozi wa Bunge wahofia Pinda atajiuzulu
*Wakubwa wavuta milioni 100 hadi bilioni 8
*Jaji Werema, Tibaijuka wapumulia mashine
*Wafadhili wasitisha tirioni 1 hadi kieleweke
Serikali ya Awamu ya Nne chini ya uongozi wa Rais Jakaya Kikwete, kwa mara nyingine imekutana na mtihani mgumu ambako Waziri Mkuu wake, Mizengo Pinda yupo chini ya shinikizo la kujiuzulu kutokana na malipo ya karibu Sh bilioni 400 kwa Kampuni ya Independent Power Tanzania Limited (IPTL).
Madai ya Nyalandu na majibu ya hoja zake
Katika gazeti la Jamhuri la Jumanne Agosti 19 – 25, 2014 ISSN No. 1821-8156 Toleo No. 150, zilichapishwa taarifa potofu zenye kichwa cha habari;
KASHFA IKULU;
· Nyalandu atumia Leseni ya Rais kuua wanyamapori 704 bure,
· Watakaouawa wamo pia tembo 8, chui 8, Simba 8, ndege,
· Wauaji ni Wamarekani marafiki wa Waziri wa Maliasili.
Wakenya waingiza mifugo Hifadhi ya Serengeti
Huu ni mpango mahsusi wa kuharibu utalii wa Tanzania na kuvutia watalii katika mbuga ya Maasai Mara nchini Kenya.
JWTZ kurudi tena DRC
Makamanda wa wapiganaji shupavu wa Jeshi la Ulinzi la Wananchi wa Tanzania (JWTZ) wako mbioni kwenda Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo (DRC), kuimarisha amani.
Ujio wa Rais Putin balaa
Ulinzi mkali unatarajiwa kuchukua nafasi yake, Rais wa Russia, Vladimir Vladimirovich Putin, atakapozuru Tanzania mapema mwakani kutokana na ‘mbabe’ huyo kuwa na uhasama na Marekani.
Wakati wowote Rais Putin anaposafiri — iwe ndani ya Russia au nje ya nchi — ulinzi wake ni mkali na ulio kamili (almost absolute) kama ule wa Barack Obama wa Marekani.
Kikwete awakoroga wagombea urais
- TRA yawakumbusha wamiliki wa magari yasiyokidhi matakwa mwisho wa kulipa
- Kambi maalumu ya matibabu Arusha, yawanufaisha wagonjwa wa mishipa ya damu na figo
- Kuelekea mwaka mpya 2026, REA yawakumbuka wenye mahitaji
- TIB yaagizwa kuhakikisha inachagiza ukuaji wa maendeleo ya uchumi wa taifa
- Mafunzo ufuatiliaji, tathmini kuongeza tija utekelezaji wa mipango ya wizara
Habari mpya
- TRA yawakumbusha wamiliki wa magari yasiyokidhi matakwa mwisho wa kulipa
- Kambi maalumu ya matibabu Arusha, yawanufaisha wagonjwa wa mishipa ya damu na figo
- Kuelekea mwaka mpya 2026, REA yawakumbuka wenye mahitaji
- TIB yaagizwa kuhakikisha inachagiza ukuaji wa maendeleo ya uchumi wa taifa
- Mafunzo ufuatiliaji, tathmini kuongeza tija utekelezaji wa mipango ya wizara
- Majambazi wanne wauawa Songwe, waliwahi kufungwa miaka 30 jela
- Serikali yaanza rasmi mchakato wa kuboresha sheria ya elimu
- Wawili wafariki kwa kupigwa na radi Tabora
- Vipaumbele vya Rais Samia vyazalisha ajira 86,621 Pwani
- Wagonjwa wa moyo 900 wahudumiwa kwa mwezi Tawi la JKCI Oysterbay, lavunja rekodi,
- Tanzania, UAE wazidi kuimarisha ushirikiano wa kimkakati
- Simbachawane asifu NIDA kuzindua mfumo wa NIDA Code Number
- Rais Mwinyi aongoza kikao cha kwanza cha Baraza la Mapinduzi
- Mradi wa utafiti wa mafuta na gesi Eyasi – Wembere waajiri zaidi ya Watanzania 2,000
- Dk Mwigulu akagua hali ya uzalishaji na usambazaji wa maji Ruvu Chini