Category: Kitaifa
Kishindo IPTL
*Uongozi wa Bunge wahofia Pinda atajiuzulu
*Wakubwa wavuta milioni 100 hadi bilioni 8
*Jaji Werema, Tibaijuka wapumulia mashine
*Wafadhili wasitisha tirioni 1 hadi kieleweke
Serikali ya Awamu ya Nne chini ya uongozi wa Rais Jakaya Kikwete, kwa mara nyingine imekutana na mtihani mgumu ambako Waziri Mkuu wake, Mizengo Pinda yupo chini ya shinikizo la kujiuzulu kutokana na malipo ya karibu Sh bilioni 400 kwa Kampuni ya Independent Power Tanzania Limited (IPTL).
Madai ya Nyalandu na majibu ya hoja zake
Katika gazeti la Jamhuri la Jumanne Agosti 19 – 25, 2014 ISSN No. 1821-8156 Toleo No. 150, zilichapishwa taarifa potofu zenye kichwa cha habari;
KASHFA IKULU;
· Nyalandu atumia Leseni ya Rais kuua wanyamapori 704 bure,
· Watakaouawa wamo pia tembo 8, chui 8, Simba 8, ndege,
· Wauaji ni Wamarekani marafiki wa Waziri wa Maliasili.
Wakenya waingiza mifugo Hifadhi ya Serengeti
Huu ni mpango mahsusi wa kuharibu utalii wa Tanzania na kuvutia watalii katika mbuga ya Maasai Mara nchini Kenya.
JWTZ kurudi tena DRC
Makamanda wa wapiganaji shupavu wa Jeshi la Ulinzi la Wananchi wa Tanzania (JWTZ) wako mbioni kwenda Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo (DRC), kuimarisha amani.
Ujio wa Rais Putin balaa
Ulinzi mkali unatarajiwa kuchukua nafasi yake, Rais wa Russia, Vladimir Vladimirovich Putin, atakapozuru Tanzania mapema mwakani kutokana na ‘mbabe’ huyo kuwa na uhasama na Marekani.
Wakati wowote Rais Putin anaposafiri — iwe ndani ya Russia au nje ya nchi — ulinzi wake ni mkali na ulio kamili (almost absolute) kama ule wa Barack Obama wa Marekani.
Kikwete awakoroga wagombea urais
- Waziri Sangu : Mahusiano mema msingi wa umoja wa taifa
- Serikali yapogezwa kuanzisha mfumo wa soko la ajira kidijitali
- Gwajima azindua Mkakati Kuboresha Ustawi na Maendeleo Endelevu ya Watoto, Familia
- Wananchi Kwimba wameishukuru Taasisi ya Doris Mollel kwa ufadhili wa jengo la kisasa
- JKCI, ABC Group kushirikiana kufikisha huduma za matibabu ya moyo kwa wananchi
Habari mpya
- Waziri Sangu : Mahusiano mema msingi wa umoja wa taifa
- Serikali yapogezwa kuanzisha mfumo wa soko la ajira kidijitali
- Gwajima azindua Mkakati Kuboresha Ustawi na Maendeleo Endelevu ya Watoto, Familia
- Wananchi Kwimba wameishukuru Taasisi ya Doris Mollel kwa ufadhili wa jengo la kisasa
- JKCI, ABC Group kushirikiana kufikisha huduma za matibabu ya moyo kwa wananchi
- Naibu Waziri Dk Dugange awasili Kagera kwa ziara ya kikazi
- Dk Nchimbi kuwasili kesho Ruvuma, mgeni rasmi maadhimisho ya Mashujaa wa Vita ya Majimaji
- Ulega aridhishwa na matengenezo ya barabara ya Dodoma – Iringa
- Serikali yaongeza kasi kuimarisha usalama barabarani kupitia mafunzo ya kitaalamu
- Dk Magembe : Hakuna mgonjwa wa kipindupindu, awataka wananchi kuchukua tahadhari
- Mwanasheria Mkuu ahimiza mageuzi ya sheria za anga kukabiliana na AI na teknolojia mpya
- Malalamiko ya viwanja mbadala yapatiwa ufumbuzi Dodoma
- TBS yawakumbusha wazalishaji, wauzaji, wasambazaji kuzingatia usajili wa bidhaa
- Serikali yaweka mkakati wa kutangaza Tanzanite na madini ya vito nchini Qatar
- Ilala yajivunia mafanikio ya ilani kipindi cha miaka minne ya Rais Samia