Category: Kitaifa
ISIL yazidi kuitesa Marekani, Waarabu nao waingilia kati
WAPIGANAJI wa kundi la Taifa la Kiislamu la Iraq na Levant (ISIL), wanazidi kuwatesa Wamarekani, kiasi kwamba hata Shirika la Kijasusi la Marekani (CIA), limekiri kwamba mapambano dhidi ya waislamu hao ni magumu.
Paroko RC aishiwa uvumilivu, awacharaza viboko Wasabato
PAROKO wa Parokia ya Urumi, iliyoko Wilaya ya Kalambo mkoani Rukwa, Padri Peter Twamba, amewajia juu waamini wa Kanisa la Waadivetisti Wasabato, waliotuhumiwa kukashifu imani ya Kanisa Katoliki (RC).
Tukio hilo lilitokea kanisani hapo, Jumapili ya 23 ya mwaka ‘A’ (kijani) ya Septemba 7, mwaka huu saa 3 asubuhi mara baada ya misa ya asubuhi kanisani hapo.
Ukawa waigawa nchi
*Wagombe urais watarajiwa Pinda, Lowassa, Membe njia panda
*Marando, Lissu, Dk. Slaa wataka wananchi wapige kura ya maoni
* Kikwete, Prof. Lumumba, Jaji Mtungi wawataka warejee bungeni
Na Mwandishi Wetu
Kuna kila dalili kuwa Tanzania sasa iko njia panda baada ya msimamo usioyumba wa wabunge waliojinasibu kama Umoja wa Katiba ya Wananchi (UKAWA), kuwa hawarejei kwenye Bunge la Katiba linaloanza leo.
Mengi: Fundisheni watoto kumcha Mungu
Kuwafundisha watoto kumcha Mungu ni dhana nzuri inayowajenga katika maadili ya kuwawezesha kufanikiwa maishani, amesema Mwenyekiti Mtendaji wa Kampuni za IPP, Dk. Reginald Mengi.
Amefafanua kwamba kumcha Mungu kunamfanya mtoto kuwa mwema, mkweli na mwaminifu, tabia ambazo ni nyenzo muhimu katika kufikia mafanikio ya kiuchumi na kijamii.
“Ni jambo la msingi kwa mzazi kumwandaa mtoto aweze kufanikiwa maishani. Kumfundisha mtoto amweke mbele Mwenyezi Mungu kutamfanya awe mnyenyekevu, mkweli na mwaminifu ili hata akikopa arudishe, maana hakuna anayetaka kufanya biashara na mtu mwongo na anayejivuna,” amesisitiza.
Sakata la Tamisemi lachukua sura mpya
Sakata la Katibu Mkuu, Ofisi ya Waziri Mkuu, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (Tamisemi), Jumanne Sagini, kudaiwa kutoa zabuni ya uchapaji wa nyaraka za Serikali kwa Kampuni ya Yuko’s Enterprises Ltd ya mkoani Pwani bila kufuata taratibu limechukua…
JWTZ ngangari
- TRA yawakumbusha wamiliki wa magari yasiyokidhi matakwa mwisho wa kulipa
- Kambi maalumu ya matibabu Arusha, yawanufaisha wagonjwa wa mishipa ya damu na figo
- Kuelekea mwaka mpya 2026, REA yawakumbuka wenye mahitaji
- TIB yaagizwa kuhakikisha inachagiza ukuaji wa maendeleo ya uchumi wa taifa
- Mafunzo ufuatiliaji, tathmini kuongeza tija utekelezaji wa mipango ya wizara
Habari mpya
- TRA yawakumbusha wamiliki wa magari yasiyokidhi matakwa mwisho wa kulipa
- Kambi maalumu ya matibabu Arusha, yawanufaisha wagonjwa wa mishipa ya damu na figo
- Kuelekea mwaka mpya 2026, REA yawakumbuka wenye mahitaji
- TIB yaagizwa kuhakikisha inachagiza ukuaji wa maendeleo ya uchumi wa taifa
- Mafunzo ufuatiliaji, tathmini kuongeza tija utekelezaji wa mipango ya wizara
- Majambazi wanne wauawa Songwe, waliwahi kufungwa miaka 30 jela
- Serikali yaanza rasmi mchakato wa kuboresha sheria ya elimu
- Wawili wafariki kwa kupigwa na radi Tabora
- Vipaumbele vya Rais Samia vyazalisha ajira 86,621 Pwani
- Wagonjwa wa moyo 900 wahudumiwa kwa mwezi Tawi la JKCI Oysterbay, lavunja rekodi,
- Tanzania, UAE wazidi kuimarisha ushirikiano wa kimkakati
- Simbachawane asifu NIDA kuzindua mfumo wa NIDA Code Number
- Rais Mwinyi aongoza kikao cha kwanza cha Baraza la Mapinduzi
- Mradi wa utafiti wa mafuta na gesi Eyasi – Wembere waajiri zaidi ya Watanzania 2,000
- Dk Mwigulu akagua hali ya uzalishaji na usambazaji wa maji Ruvu Chini