Category: Kitaifa
ISIL yazidi kuitesa Marekani, Waarabu nao waingilia kati
WAPIGANAJI wa kundi la Taifa la Kiislamu la Iraq na Levant (ISIL), wanazidi kuwatesa Wamarekani, kiasi kwamba hata Shirika la Kijasusi la Marekani (CIA), limekiri kwamba mapambano dhidi ya waislamu hao ni magumu.
Paroko RC aishiwa uvumilivu, awacharaza viboko Wasabato
PAROKO wa Parokia ya Urumi, iliyoko Wilaya ya Kalambo mkoani Rukwa, Padri Peter Twamba, amewajia juu waamini wa Kanisa la Waadivetisti Wasabato, waliotuhumiwa kukashifu imani ya Kanisa Katoliki (RC).
Tukio hilo lilitokea kanisani hapo, Jumapili ya 23 ya mwaka ‘A’ (kijani) ya Septemba 7, mwaka huu saa 3 asubuhi mara baada ya misa ya asubuhi kanisani hapo.
Ukawa waigawa nchi
*Wagombe urais watarajiwa Pinda, Lowassa, Membe njia panda
*Marando, Lissu, Dk. Slaa wataka wananchi wapige kura ya maoni
* Kikwete, Prof. Lumumba, Jaji Mtungi wawataka warejee bungeni
Na Mwandishi Wetu
Kuna kila dalili kuwa Tanzania sasa iko njia panda baada ya msimamo usioyumba wa wabunge waliojinasibu kama Umoja wa Katiba ya Wananchi (UKAWA), kuwa hawarejei kwenye Bunge la Katiba linaloanza leo.
Mengi: Fundisheni watoto kumcha Mungu
Kuwafundisha watoto kumcha Mungu ni dhana nzuri inayowajenga katika maadili ya kuwawezesha kufanikiwa maishani, amesema Mwenyekiti Mtendaji wa Kampuni za IPP, Dk. Reginald Mengi.
Amefafanua kwamba kumcha Mungu kunamfanya mtoto kuwa mwema, mkweli na mwaminifu, tabia ambazo ni nyenzo muhimu katika kufikia mafanikio ya kiuchumi na kijamii.
“Ni jambo la msingi kwa mzazi kumwandaa mtoto aweze kufanikiwa maishani. Kumfundisha mtoto amweke mbele Mwenyezi Mungu kutamfanya awe mnyenyekevu, mkweli na mwaminifu ili hata akikopa arudishe, maana hakuna anayetaka kufanya biashara na mtu mwongo na anayejivuna,” amesisitiza.
Sakata la Tamisemi lachukua sura mpya
Sakata la Katibu Mkuu, Ofisi ya Waziri Mkuu, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (Tamisemi), Jumanne Sagini, kudaiwa kutoa zabuni ya uchapaji wa nyaraka za Serikali kwa Kampuni ya Yuko’s Enterprises Ltd ya mkoani Pwani bila kufuata taratibu limechukua…
JWTZ ngangari
- Wananchi Kwimba wameishukuru Taasisi ya Doris Mollel kwa ufadhili wa jengo la kisasa
- JKCI, ABC Group kushirikiana kufikisha huduma za matibabu ya moyo kwa wananchi
- Naibu Waziri Dk Dugange awasili Kagera kwa ziara ya kikazi
- Dk Nchimbi kuwasili kesho Ruvuma, mgeni rasmi maadhimisho ya Mashujaa wa Vita ya Majimaji
- Ulega aridhishwa na matengenezo ya barabara ya Dodoma – Iringa
Habari mpya
- Wananchi Kwimba wameishukuru Taasisi ya Doris Mollel kwa ufadhili wa jengo la kisasa
- JKCI, ABC Group kushirikiana kufikisha huduma za matibabu ya moyo kwa wananchi
- Naibu Waziri Dk Dugange awasili Kagera kwa ziara ya kikazi
- Dk Nchimbi kuwasili kesho Ruvuma, mgeni rasmi maadhimisho ya Mashujaa wa Vita ya Majimaji
- Ulega aridhishwa na matengenezo ya barabara ya Dodoma – Iringa
- Serikali yaongeza kasi kuimarisha usalama barabarani kupitia mafunzo ya kitaalamu
- Dk Magembe : Hakuna mgonjwa wa kipindupindu, awataka wananchi kuchukua tahadhari
- Mwanasheria Mkuu ahimiza mageuzi ya sheria za anga kukabiliana na AI na teknolojia mpya
- Malalamiko ya viwanja mbadala yapatiwa ufumbuzi Dodoma
- TBS yawakumbusha wazalishaji, wauzaji, wasambazaji kuzingatia usajili wa bidhaa
- Serikali yaweka mkakati wa kutangaza Tanzanite na madini ya vito nchini Qatar
- Ilala yajivunia mafanikio ya ilani kipindi cha miaka minne ya Rais Samia
- RC Chalamila akutana na Gavana wa Jimbo la Maniema – Congo DRC
- JK aweka saini kitabu cha maombolezo kifo cha Askofu Mkuu Mstaafu Kardinali Pengo
- Mwenyekiti CCM Dk Samia aongoza Kikao cha Kamati Kuu Dodoma