Category: Kitaifa
Rais Samia awashika mkono akina mama waliojifungia njiti
Rais Samia ametoa msaada wa mahitaji muhimu kwa mama waliojifungua watoto njiti katika Hospitali ya Rufaa ya Mkoa Maweni, Kigoma. Mahitaji hayo yamekabidhiwa na Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais TAMISEMI, Angellah Kairuki kwa niaba ya Rais Samia, mara baada…
Makampuni ya Japan yavutiwa na kahawa ya Tanzania
Makampuni ya Japan yameonesha kuvutiwa na kahawa ya Tanzania katika maonesho ya Kimataifa ya Kahawa Japan yajulikanayo kama 2022 Japan Specialty Coffee Conference & Exhibition yaliyofanyika jijini Tokyo tarehe 12 – 14 Oktoba, 2022. Maonesho hayo ambayo yalishirikisha taasisi zipatazo…
Wampongeza Rais Samia kuifungua Kigoma katika sekta ya ujenzi
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania,Samia Suluhu Hassan Oktoba 16, 2022 akiwa Wilayani Kakonko, Mkoani Kigoma amefungua rasmi barabara ya Nyakanazi- Kabingo( km.50) ikiwa imejengwa kwa takriban shilingi bilioni 43 na ujenzi wake kusimamiwa na TANROADS. Akizungumza katika ufunguzi…
Nchemba aita wawekezaji kuwekeza nchini
Na Benny Mwaipaja,Washington DC Waziri wa Fedha na Mipango,Dkt. Mwigulu Lameck Nchemba, ametoa wito kwa wawekezaji wa kimataifa pamoja na wazawa kuchangamkia fursa za uwekezaji zinazopatikana nchini Tanzania katika sekta mbalimbali. Dkt. Nchemba ametoa wito huo mjini Washington D.C, Marekani,…
‘Nawabadilisha mawaziri lakini Biteko yupo’
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania,Samia Suluhu Hassan ameeleza kuridhishwa na utendaji kazi wa Waziri wa Madini, Dkt. Doto Biteko katika kuisimamia Sekta ya Madini. Rais Samia amempongeza Dkt. Biteko leo Oktoba 16, 2022 wakati akiwasalimu wananchi wa Runzewe…