Category: Kitaifa
Serikali kurejesha ari ya usomaji vitabu nchini
Na Mwandishi Wetu,JamhuriMedia,Dar Serikali imesema itafanya jitihada za uhamasishaji wa usomaji wa vitabu nchini. Hayo yamesemwa na Naibu Katibu Mkuu wa Wizara ya Elimu, Sayansi na Teknolojia Prof. James Mdoe wakati akifunga tamasha la 31 la vitabu lililomalizika jana katika…
Kampasi ya Chuo Kikuu Dar kujengwa Kagera
Na Mathias Canal,JamhuriMedia,Kagera Katika kuboresha huduma za upatikanaji wa elimu kwa wanafunzi nchini Serikali imepanga kujenga Kampasi ya Chuo Kikuu cha Dar es Salaam (UDSM) Mkoani Kagera. Waziri wa Elimu, Sayansi na Teknolojia amesema hayo mbele ya mgeni rasmi Rais…