JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Category: Kitaifa

‘Waliogawa mbegu mbovu Korogwe wakamatwe’

Katika kukomesha vitendo vya hujuma zinazofanywa na watendaji kwa wananchi, Mkuu wa Wilaya ya Korogwe, Mrisho Gambo, amemwagiza Mkuu wa Polisi wilayani, Madaraka Majiga, kuwakamata watumishi wa Idara ya Kilimo waliosambaza mbegu mbovu za mahindi kwa wakulina na hivyo kuwasababishia hasara.

Walioficha mabilioni Uswisi wahojiwa

*Kwenye orodha wamo majenerali wa JWTZ

*Mboma, Sayore, Yona, Chenge, Mgonja ndani

*AG akiri kazi ni ngumu, aomba waongezwe muda

*Asema mwanga muhimu umeanza kuonekana

Kamati iliyoundwa na Waziri Mkuu Mizengo Pinda kuchunguza Watanzania walioficha fedha kwenye mabenki ughaibuni, imeshawahoji vigogo, wakiwamo mawaziri wa zamani, wakuu wa vyombo vya ulinzi na usalama, wanasiasa na wafanyabiashara maarufu.

UWASATA wasaka nguvu kusaidia yatima

Umoja wa Watuma Salamu Tanzania (UWASATA) unahitaji nguvu ya wahisani uweze kuongeza misaada kwa watoto yatima na wanaoishi katika mazingira hatarishi nchini.

Wiki ya ugeni mzito yawadia Tanzania

Wiki moja au siku saba kati ya Juni 27, 2013 na Julai 4, 2013 Tanzania itapata ugeni mzito unaoweza kubadili historia ya nchi hii. Rais wa Marekani Barrack Obama anatarajiwa kuwa mmoja wa wageni watakaofika hapa nchini, kwa nia ya kuendeleza uhusiano kati ya Tanzania na Marekani.

Kizimbani kwa kutishia kumuua Miranda Kerr

Steven Swanson (52) amefikishwa katika Mahakama ya Wilaya ya Barnstable, California, akituhumiwa kufanya tishio la kumuua mwanamitindo maarufu wa Australia, Miranda Kerr.

TRA wanasa makontena 500

*Yadaiwa huo ni mzigo wa Ridhiwani, Home Shopping Centre

*Home Shopping wasema ni fitina za kibiashara, TRA wanena

Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) imenasa makontena 500 ya wafanyabiashara mbalimbali nchini, ambayo yamechanganya mizigo kwa nia ya kukwepa kodi ndani ya mwezi mmoja uliopita.