JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Category: Kitaifa

Wasira: Nivigumu kuifuta Chadema

*Akiri kuwa kazi hiyo si nyepesi

Kukifuta Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) si rahisi; amethibitisha Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais (Uhusiano na Uratibu), Stephen Wasira.

Wanaume watelekeza watoto walemavu Arumeru

*Wanawake wasukumiwa mzigo

Tatizo la wanaume kuwatelekeza watoto wao wenye ulemavu, limetajwa kukithiri katika Kijiji cha Ambureni, Wilaya ya Arumeru, mkoani Arusha.

Ulaji ugeni wa marais 11

Kampuni ‘hewa’ zakomba mamilioni

*CAG atakiwa aingie kazini mara moja

Kampuni tatu kati ya nane zilizozawadiwa zabuni tata za vifaa na huduma kwenye Mkutano wa Majadiliano ya Kimataifa ya Ushirikiano kwa Manufaa ya Wote (Smart Partnership Dialogue), zimebainika kuwa ni ‘hewa’.

Waziri Mku: Tutavuna gesi asilia baada ya miaka kumi

Waziri Mkuu, Mizengo Pinda, amesema mavuno ya gesi asilia iliyopo mkoani Mtwara yataanza kupatikana baada ya kipindi kisichopungua miaka kumu.

Nchi imetafunwa!

*Hazina yatumia Shilingi bilioni 8, taasisi za umma

zachangishwa, ‘wajanja’ watafuna mamilioni

*Vifaa vya Obama vyaokoa jahazi, sare, mikoba, vyagharimu

mil. 400/-, vinyago navyo balaa!

*Karamu, chupa za kahawa, miavuli mil. 390/-,

Burudani ya muziki yatafuna milioni 195/-

*Dewji agoma kuchangia, Katibu Mkuu Haule

arushiwa kombora, yeye ajitetea

Mkutano wa Majadiliano ya Kimataifa ya Ushirikiano kwa Manufaa ya Wote (Smart Partnership Dialogue), uliomalizika hivi karibuni jijini Dar es Salaam, umeigharimu Serikali Sh bilioni nane.

Sakata la Iddi Simba bado bichi

*Ikulu, ofisi ya CAG washangazwa kuachiwa

*Uamuzi uliofanywa na DPP wazua maswali

Kuachiwa kwa mwanasiasa Iddi Simba, ambaye hivi karibuni alikuwa akikabiliwa na kesi ya uhujumu uchumi kabla ya Mkurugenzi wa Mshitaka nchini (DPP), kuamuru awe huru, kumeibua mgongano mkubwa serikalini.