Category: Kitaifa
URAIS 2015
*Vikumbo vyaanza uchaguzi NEC-CCM
*Matayarisho ya mitandao yapamba moto
*Sura mpya, waliopotea waanza kuibuka
*Kipimo cha kukubalika ni kwenye NEC
Harakati za kuwania nafasi mbalimbali, hasa ujumbe wa Halmashauri Kuu (NEC) ndani ya Chama Cha Mapinduzi (CCM), zimetafsiriwa kwamba ni maandalizi ya kuelekea kwenye kinyang’anyiro cha urais mwaka 2015.
Mkurugenzi: Ilala jitokezeni sensa
Mkurugenzi wa Halmashauri ya Wilaya ya Ilala, Gabriel Fuime, amewataka wakazi wa Ilala kujitokeza kwa wingi kushiriki sensa ya watu na makazi inayofanyika kuanzia Jumapili wiki hii. Fuime aliiambia JAMHURI mwishoni mwa wiki kuwa kuna umuhimu mkubwa wa wakazi wa Ilala kujitokeza kwenye sense, kwani bila kufanya hivyo mgawo wa fedha kutoka serikalini utapungua.
Ripoti ya majangili yatoka
*Wamo Polisi, Kada CCM, wafanyabiashara
*Vigogo Polisi Kigoma, Mugumu wahusishwa
Idara ya Ulinzi, Kitengo cha Intelejensia cha Mamlaka ya Hifadhi za Taifa Tanzania (TANAPA), imetoa ripoti ya ujangili iliyo na majina ya wahusika wakuu na namna wanavyolindwa na vyombo vya dola nchini. JAMHURI imepata ripoti hiyo ya kurasa 30 iliyosainiwa na Mhifadhi wa Intelejensia, Renatus Kusamba.
Balozi za Tanzania aibu tupu
*Baadhi hawajalipwa mishahara miezi sita, zimeajiri Wakenya
*Ufaransa pango Sh milioni 720, wanatumia anwani ya Uganda
*Ofisi zinaporomoka, Kikwete asema Richmond imeiponza nchi
*Membe alia Serikali kukata bajeti yake ikabaki asilimia 44 tu
Sura na heshima ya Tanzania nje ya nchi inashuka kwa kasi kubwa, kutokana na Serikali kuzitelekeza balozi zake nje ya nchi.
Yapo mambo mengi ya aibu yanayowakumba mabalozi wanaoiwakilisha Tanzania nje ya nchi, kwani baadhi ya balozi zinashindwa kulipia huduma ya simu, maji, umeme na baadhi ya magari yanazimika na kuwashwa kwa kusukumwa kama ya uswahilini. Taarifa ya ziara ya Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Mambo ya Nje, Ulinzi na Usalama iliyotembelea balozi mbalimbali imeibua uozo wa ajabu.
Majaji maji shingoni
*Maelezo ya Jaji Ramadhani, Luanda moto
*Ripoti ya Ikulu nayo yataka waondolewe
*Lissu ataka wapime, kumshitaki Kikwete
*Amtaka Jaji Kiongozi Fakih Jundu ajiuzulu
Mhimili wa Mahakama umetikisika baada ya kuwapo ushahidi wa wazi kwamba Rais Jakaya Kikwete amevunja Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ya mwaka 1977, kwa kuwaongezea mikataba ya kazi baadhi ya majaji na kumpandisha cheo mwingine.
RIPOTI MAALUMU
Majaji ‘vihiyo’ watajwa
*Yumo aliyeshindwa kuandika hukumu miaka minne
*Wengine wagonjwa, hawajawahi kusikiliza kesi
*Yumo Jaji wa Mahakama ya Rufaa asiye na shahada
*Baada ya kubanwa sasa anasoma Chuo Kikuu Huria
*Wengine walikuwa mahakimu watuhumiwa wa rushwa
- Nyongeza ya mshahara yapokelewa kwa shangwe na wafanyakazi Njombe
- Baraza la Maaskofu Katoliki walaani tukio la uovu la kushambuliwa Padri Kitima
- Rais Samia apandisha viwango vya mishahara kwa asilimia 35.1
- Jiungeni na vifurushi vya NHIF- Rais Samia
- Rais Dk Samia akikabidhi vikombe kwa Manahodha wa Timu zilizofanya vizuri
Habari mpya
- Nyongeza ya mshahara yapokelewa kwa shangwe na wafanyakazi Njombe
- Baraza la Maaskofu Katoliki walaani tukio la uovu la kushambuliwa Padri Kitima
- Rais Samia apandisha viwango vya mishahara kwa asilimia 35.1
- Jiungeni na vifurushi vya NHIF- Rais Samia
- Rais Dk Samia akikabidhi vikombe kwa Manahodha wa Timu zilizofanya vizuri
- Rais Samia akitoa zawadi kwa wafanyakazi hodari katika sherehe ya Siku ya Wafanyakazi Duniani Mei Mosi
- Matukio mbalimbali wakati Maadhimisho ya Siku wa Wafanyakazi Duniani
- Katibu Matinda aweka mkakati wa ujenzi wa nyumba ya Katibu Jumuiya ya Wazazi Tarime
- Serikali yaja na leseni mpya maalumu ya uzalishaji chumvi
- Waziri Bashe awapa mbinu ya kuondokana na umaskini wakulima wa korosho Kusini
- Mmoja akamatwa kwa kwa tuhuma za shambulio la Padri Kitima
- Mhandisi Luhemeja afungua mkutano wa AGN Zanzibar
- Sekta ya Madini imepiga hatua – Dk Kiruswa
- John Mrema atimuliwa uanachama CHADEMA
- Dk Biteko alitaka Shirika la Maendeleo ya Petroli kuongeza kasi ya uendelezaji vitalu vya mafuta na gesi asilia