Category: Kitaifa
Mvutano uchinjaji Mbeya
Hivi karibuni kumezuka vurugu baina ya Wakristo na Waislamu katika mji wa Tunduma mkoani Mbeya, wakigombea uchinjaji mifugo ingawa siku zote Waislamu ndiyo wamekuwa wakitekeleza jukumu hilo.
India yakubaliwa kuchimba dhahabu, almasi Tanzania
Serikali ya Tanzania imekubali ombi la Serikali ya India, la kutaka kuwekeza katika sekta ya nishati na madini nchini.
Udokozi bandarini ukomeshwe
Bandari ya Dar es Salaam ni mashuhuri katika nchi za Afrika Mashariki na Kati. Bandari hii, kwa muda mrefu, imekuwa kitovu cha biashara kati ya Tanzania na nchi za Afrika Mashariki na Kati zisizokuwa na bandari (land locked).
Kwimba walilia maji safi
Mbunge wa Kwimba, Shanif Hirani Mansoor (CCM), amesema ameshaanza kushughulikia ujenzi wa mabwawa ya maji katika kata kadhaa jimboni humo.
Mchele wakosa soko Same
Wakulima wa mpunga wilayani Same mkoani Kilimanjaro, wameeleza kushangazwa na uamuzi wa Serikali kuruhusu uagizaji wa mchele kutoka nje ya nchi, wakati wao wamekosa wanunuzi wa tani 15,000 za bidhaa hiyo hapa nchini.
Ridhiwani Kikwete atoa ya moyoni
Wiki iliyopita gazeti hili lilichapisha sehemu ya kwanza ya mahojiano kati ya Ridhiwani Kikwete (pichani) na JAMHURI. Leo tunakulete sehemu ya pili na ya mwisho ya mahojiano hayo.
JAMHURI: Mitandao ya kijamii unaisoma? Unajisikiaje wewe na Mheshimiwa Kikwete mnavyoshambuliwa?
RIDHIWANI: Hivi vitu kwanza tumshukuru Mungu kwa sababu Mungu amewapa watu nafasi ya kusema. Mitandao hii inatoa nafasi ya kuwafanya watu watoe yaliyomo moyoni mwao. Taarifa iliyosomwa na Waziri Mkuu mwaka 2007 ilionesha CCM ilikuwa imefanikiwa kutekeleza asilimia 98 ya Ilani ya Uchaguzi. Kufikia mwaka 2009 ikawa imetekelezwa kwa asilimia 100.
- Katambi: EACLC leteni wafanyabiashara wenye teknolojia na ujuzi ambao haupo nchini
- Ubora wa CBE wazidi kuongezeka kimataifa
- Serikali ya Tanzania si ya kuamrishwa wala kupewa maelekezo – Rais Samia
- Nchi yetu inaongozwa kwa misingi ya katiba na sheria na sio madhehebu ya dini – Dk Samia
- NMB yatoa 500m/- kusaidia matibabu ya moyo ya watoto 125 nchini
Habari mpya
- Katambi: EACLC leteni wafanyabiashara wenye teknolojia na ujuzi ambao haupo nchini
- Ubora wa CBE wazidi kuongezeka kimataifa
- Serikali ya Tanzania si ya kuamrishwa wala kupewa maelekezo – Rais Samia
- Nchi yetu inaongozwa kwa misingi ya katiba na sheria na sio madhehebu ya dini – Dk Samia
- NMB yatoa 500m/- kusaidia matibabu ya moyo ya watoto 125 nchini
- Tutaendelea kuilinda Tanzania na usalama wa raia na mali zao – Rais Dk Samia
- Mawaziri, viongozi wa dini na wazee wa Mkoa wa Mkoa wa Dar es Salaam wakiwa katika kikao cha JNICC
- Rais Samia : Walioandaa vurugu walidhamiria kuangusha dola ya nchi yetu
- Desemba 9, tuepuke “Kaliba kashaija…”
- Kunenge : Bodaboda wote wapewe mafunzo ya usalama barabarani mkoani Pwani
- Soma Gazeti la Jamhuri Desemba 2-8, 2025
- Wananchi wa Ormekeke Ngorongoro waanza kunufaika na mradi wa maji
- CBE yashika nafasi ya nane ubora vyuo elimu ya juu
- Tuchukue hatua kuepuka madhara ya usugu wa vimelea vya magonjwa dhidi ya dawa -Serikali
- Balozi wa Uturuki akaribisha wawekezaji sekta ya afya