Category: Kitaifa
Wastaafu UDSM waendelea ‘kulizwa’
Wastaafu wa Chuo Kikuu cha Dar es Salaam (UDSM) wanaendelea kuhangaikia madai ya mapunjo ya mafao yao, safari hii wakidhamiria ‘kumwangukia’ Katibu Mkuu wa Wizara ya Fedha.
Askari alalamikiwa kubaka wanawake
Wizara ya Maliasili na Utalii imekumbwa na kashfa nyingine. Safari hii askari wanyamapori wa Hifadhi ya Taifa ya Serengeti (SENAPA) na Pori la Akiba la Kijereshi wilayani Busega mkoani Simiyu, wakituhumiwa kubaka wanawake.
Wafanyakazi OSHA kuanika uovu leo
Malalamiko ya wafanyakazi wa Mamlaka ya Usalama na Afya Mahali pa Kazi (OSHA) dhidi ya Mtendaji Mkuu wao huenda yakapatiwa ufumbuzi leo katika mkutano na viongozi wa ngazi za juu.
Mwekezaji wa Kapunga Mbeya shakani
Uhusiano kati ya Mwekezaji wa Shamba la Kapunga (Kapunga Rice Company) lililopo Wilaya ya Mbarali mkoani hapa na wananchi umezidi kufifia kutokana na matukio yanayozidi kumwandama.
Zitto amuumbua Spika
MBUNGE wa Kigoma Kaskazini, Zitto Kabwe (Chadema), amesema Spika Anne Makinda, asipodhibitiwa, ataiua nchini kutokana na uongozi wake wa kiimla.
Wanawake wamsononesha Waziri Mkuu
Waziri Mkuu Mizengo Pinda amesononeshwa na idadi ndogo ya wanafunzi wa kike, katika Taasisi ya Sayansi na Teknolojia ya Nelson Mandela (NM-AIST).