Category: Kitaifa
HOTUBA YA WAZIRI WA ARDHI, NYUMBA NA MAENDELEO YA MAKAZI
DIRA YA WIZARA:
Kuwa na uhakika wa milki za ardhi, nyumba bora na makazi endelevu kwa ajili ya maendeleo ya kiuchumi na kijamii.
DHIMA:
Kuweka mazingira yanayofaa kuleta ufanisi katika utoaji wa huduma za ardhi, nyumba na makazi
Wapinzani wachekelea Pinda kugwaya
Kambi Rasmi ya Upinzani Bungeni imeeleza kufarijika na kauli ya Waziri Mkuu Mizengo Pinda kwamba kampuni ya Agrisol haijapewa ardhi ya Katumba na Mishamo mkoani Katavi.
Sasa umefika wakati wa vitendo-Tibaijuka
[caption id="attachment_195" align="alignleft" width="160"]
Profesa Anna Tibaijuka[/caption]Wizara ya Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi imesema kuanzia sasa inachofanya ni vitendo tu katika kukabiliana na wavunjifu wa sheria za ardhi, wakiwamo wavamizi wa maeneo yasiyoruhusiwa kujengwa.
Tibaijuka anguruma
[caption id="attachment_191" align="alignleft" width="189"]
Profesa Anna Tibaijuka[/caption]*Akomesha viji-zawadi vya wawekezaji
*Wananchi kumiliki hisa kwenye ardhi
*Kigamboni kujengwa kwa trilioni 16
HATIMAYE Serikali imeridhia kufanya mabadiliko makubwa kwenye umiliki wa ardhi kwa kuwabana wawekezaji wanaojitwalia ardhi kubwa kwa kutoa viji-zawadi vidogo vidogo kwa halmashauri, vijiji na wananchi.
Dozi ya Magufuli kwa viongozi wenzake
Suala la Dar es Salaam ni “very complex” na mimi nataka niwe muwazi na nataka nizungumze kwa ukweli. Ujenzi wa barabara za Dar es Salaam zina matatizo sana .
Bunge lawakomalia wapangaji NHC
Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Ardhi, Maliasili na Mazingira, imepinga maombi ya wapangaji wa Shirika la Nyumba Taifa (NHC) ya kuuziwa nyumba wanamoishi.
- FCT yaendelea kuwawezesha wadau Arusha kupitia mfumo wa kielektroniki
- CTI : Ushirikiano na Serikali umetatua changamoto za wenye viwanda
- Bima ya afya kwa wote yaanza rasmi, serikali yawaondolea wananchi mzigo
- Kamati yapongeza juhudi za Serikali uboreshwaji huduma za afya
- Mashindano ya Ligi ya Muungano yaimarisha undugu, umoja na mshikamano kwa Watanzania
Habari mpya
- FCT yaendelea kuwawezesha wadau Arusha kupitia mfumo wa kielektroniki
- CTI : Ushirikiano na Serikali umetatua changamoto za wenye viwanda
- Bima ya afya kwa wote yaanza rasmi, serikali yawaondolea wananchi mzigo
- Kamati yapongeza juhudi za Serikali uboreshwaji huduma za afya
- Mashindano ya Ligi ya Muungano yaimarisha undugu, umoja na mshikamano kwa Watanzania
- Waziri wa Ajira na uwekezaji Zanzibar aanika mipango ya wizara kujenga uzalendo na uchumi imara
- Dk Mwigulu aweka jiwe la msingi mradi wa kusukuma na kuhifadhi maji Mwanza
- Kiwanda cha sukari Mkulazi chaanza kuleta tija
- Dk Mwigulu awasili Mwanza kwa ziara ya kikazi
- SJMT, SMZ zaweka mikakati kuimarisha muungano
- Miradi, mikataba ya kimataifa kuleta fursa kwa wananchi wa pande zote za muungano
- Kizimbani kwa tuhuma za usafirishaji dawa za kulevya
- Raia wa Naigeria waenda jela miaka 28 kwa kusafirisha dawa za kulevya
- Watalii wamiminika Hifadhi ya Taifa ya Nyerere
- Zelensky : Ukraine itazungumza na Marekani na Urusi
Copyright 2025


