Category: Kitaifa
HOTUBA YA WAZIRI WA ARDHI, NYUMBA NA MAENDELEO YA MAKAZI
DIRA YA WIZARA:
Kuwa na uhakika wa milki za ardhi, nyumba bora na makazi endelevu kwa ajili ya maendeleo ya kiuchumi na kijamii.
DHIMA:
Kuweka mazingira yanayofaa kuleta ufanisi katika utoaji wa huduma za ardhi, nyumba na makazi
Wapinzani wachekelea Pinda kugwaya
Kambi Rasmi ya Upinzani Bungeni imeeleza kufarijika na kauli ya Waziri Mkuu Mizengo Pinda kwamba kampuni ya Agrisol haijapewa ardhi ya Katumba na Mishamo mkoani Katavi.
Sasa umefika wakati wa vitendo-Tibaijuka
[caption id="attachment_195" align="alignleft" width="160"]
Profesa Anna Tibaijuka[/caption]Wizara ya Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi imesema kuanzia sasa inachofanya ni vitendo tu katika kukabiliana na wavunjifu wa sheria za ardhi, wakiwamo wavamizi wa maeneo yasiyoruhusiwa kujengwa.
Tibaijuka anguruma
[caption id="attachment_191" align="alignleft" width="189"]
Profesa Anna Tibaijuka[/caption]*Akomesha viji-zawadi vya wawekezaji
*Wananchi kumiliki hisa kwenye ardhi
*Kigamboni kujengwa kwa trilioni 16
HATIMAYE Serikali imeridhia kufanya mabadiliko makubwa kwenye umiliki wa ardhi kwa kuwabana wawekezaji wanaojitwalia ardhi kubwa kwa kutoa viji-zawadi vidogo vidogo kwa halmashauri, vijiji na wananchi.
Dozi ya Magufuli kwa viongozi wenzake
Suala la Dar es Salaam ni “very complex” na mimi nataka niwe muwazi na nataka nizungumze kwa ukweli. Ujenzi wa barabara za Dar es Salaam zina matatizo sana .
Bunge lawakomalia wapangaji NHC
Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Ardhi, Maliasili na Mazingira, imepinga maombi ya wapangaji wa Shirika la Nyumba Taifa (NHC) ya kuuziwa nyumba wanamoishi.
- Injinia Mwalugaja aongoza mapinduzi ya uwekezaji Katavi
- TCU yasitisha udahili wa shahada ya udaktari MzU 2025/26
- Katambi: EACLC leteni wafanyabiashara wenye teknolojia na ujuzi ambao haupo nchini
- Ubora wa CBE wazidi kuongezeka kimataifa
- Serikali ya Tanzania si ya kuamrishwa wala kupewa maelekezo – Rais Samia
Habari mpya
- Injinia Mwalugaja aongoza mapinduzi ya uwekezaji Katavi
- TCU yasitisha udahili wa shahada ya udaktari MzU 2025/26
- Katambi: EACLC leteni wafanyabiashara wenye teknolojia na ujuzi ambao haupo nchini
- Ubora wa CBE wazidi kuongezeka kimataifa
- Serikali ya Tanzania si ya kuamrishwa wala kupewa maelekezo – Rais Samia
- Nchi yetu inaongozwa kwa misingi ya katiba na sheria na sio madhehebu ya dini – Dk Samia
- NMB yatoa 500m/- kusaidia matibabu ya moyo ya watoto 125 nchini
- Tutaendelea kuilinda Tanzania na usalama wa raia na mali zao – Rais Dk Samia
- Mawaziri, viongozi wa dini na wazee wa Mkoa wa Mkoa wa Dar es Salaam wakiwa katika kikao cha JNICC
- Rais Samia : Walioandaa vurugu walidhamiria kuangusha dola ya nchi yetu
- Desemba 9, tuepuke “Kaliba kashaija…”
- Kunenge : Bodaboda wote wapewe mafunzo ya usalama barabarani mkoani Pwani
- Soma Gazeti la Jamhuri Desemba 2-8, 2025
- Wananchi wa Ormekeke Ngorongoro waanza kunufaika na mradi wa maji
- CBE yashika nafasi ya nane ubora vyuo elimu ya juu
Copyright 2024


