Category: Kitaifa
HOTUBA YA WAZIRI WA UJENZI
UTANGULIZI Mheshimiwa Spika, baada ya Bunge lako Tukufu kupokea taarifa iliyowasilishwa leo hapa Bungeni na Mwenyekiti wa Kamati ya Bunge ya Miundombinu, naomba kutoa hoja kwamba Bunge lako tukufu likubali kupokea, kujadili na kupitisha Mpango wa Maendeleo na Makadirio…
Vigogo wa bilioni 300 wakalia kuti kavu
Waziri Mkuu Mizengo Pinda amesema vyombo vya dola vimeanza kuchunguza taarifa za kuwapo kwa zaidi ya Sh bilioni 300 zilizofichwa katika benki nchini Uswisi.
Pinda ameliambia Bunge kuwa Serikali imepata taarifa hizo kupitia vyombo vya habari, na kwamba tayari wameanza uchunguzi na baadaye watatangaza matokeo.
Kashfa uporaji ardhi kubwa…
Pinda ahusishwa
*Mmoja wa washirika ajitoa kuepuka aibu
*Ni Chuo Kikuu cha Iowa cha Marekani
*Yabainika wanaleta teknolojia hatari nchini
Waziri Mkuu Mizengo Pinda, ameendelea kubanwa kuhusu uamuzi wake wa kuwasaidia Wamarekani kujitwalia ekari laki nane za ardhi kwa miaka 99 mkoani Katavi.
Anayetuhumiwa kumteka Dk. Ulimboka azungumza
*Ni Kamanda Msangi anyeongoza Tume ya kuchunza utekaji ulivyotokea
*Ujumbe wasambazwa kuwa ndiye alimpora simu ya mkononi na ‘wallet’
*Yeye asema amekatishwa tamaa, Professa Museru aeleza alichosikia

Askari anayetuhumiwa kumteka Mwenyekiti wa Jumuiya ya Madaktari Nchini, Dk. Stephen Ulimboka, Kamishna wa Polisi Msaidizi (ACP), Ahmed Msangi, amehojiwa na kuzungumzia kilichotokea kuhusiana na tuhuma kwamba aliambiwa arejeshe simu ya mkononi na pochi ya Dk. Ulimboka.
Twende tuwekeze Sudan Kusini – Jenerali Kisamba
*Saruji, ngano, vifaa vya ujenzi, alizeti vinahitajika *Asema majirani zetu wameshaanza kunufaika mno Ushauri umetolewa kwa Tanzania na Watanzania kuamka na kuchangamkia fursa za uwekezaji na biashara zilizojitokeza katika taifa jipya la Sudani Kusini. Ushauri huo umetolewa na…
- FCT yaendelea kuwawezesha wadau Arusha kupitia mfumo wa kielektroniki
- CTI : Ushirikiano na Serikali umetatua changamoto za wenye viwanda
- Bima ya afya kwa wote yaanza rasmi, serikali yawaondolea wananchi mzigo
- Kamati yapongeza juhudi za Serikali uboreshwaji huduma za afya
- Mashindano ya Ligi ya Muungano yaimarisha undugu, umoja na mshikamano kwa Watanzania
Habari mpya
- FCT yaendelea kuwawezesha wadau Arusha kupitia mfumo wa kielektroniki
- CTI : Ushirikiano na Serikali umetatua changamoto za wenye viwanda
- Bima ya afya kwa wote yaanza rasmi, serikali yawaondolea wananchi mzigo
- Kamati yapongeza juhudi za Serikali uboreshwaji huduma za afya
- Mashindano ya Ligi ya Muungano yaimarisha undugu, umoja na mshikamano kwa Watanzania
- Waziri wa Ajira na uwekezaji Zanzibar aanika mipango ya wizara kujenga uzalendo na uchumi imara
- Dk Mwigulu aweka jiwe la msingi mradi wa kusukuma na kuhifadhi maji Mwanza
- Kiwanda cha sukari Mkulazi chaanza kuleta tija
- Dk Mwigulu awasili Mwanza kwa ziara ya kikazi
- SJMT, SMZ zaweka mikakati kuimarisha muungano
- Miradi, mikataba ya kimataifa kuleta fursa kwa wananchi wa pande zote za muungano
- Kizimbani kwa tuhuma za usafirishaji dawa za kulevya
- Raia wa Naigeria waenda jela miaka 28 kwa kusafirisha dawa za kulevya
- Watalii wamiminika Hifadhi ya Taifa ya Nyerere
- Zelensky : Ukraine itazungumza na Marekani na Urusi
