Category: Kitaifa
HOTUBA YA WAZIRI WA UJENZI
UTANGULIZI Mheshimiwa Spika, baada ya Bunge lako Tukufu kupokea taarifa iliyowasilishwa leo hapa Bungeni na Mwenyekiti wa Kamati ya Bunge ya Miundombinu, naomba kutoa hoja kwamba Bunge lako tukufu likubali kupokea, kujadili na kupitisha Mpango wa Maendeleo na Makadirio…
Vigogo wa bilioni 300 wakalia kuti kavu
Waziri Mkuu Mizengo Pinda amesema vyombo vya dola vimeanza kuchunguza taarifa za kuwapo kwa zaidi ya Sh bilioni 300 zilizofichwa katika benki nchini Uswisi.
Pinda ameliambia Bunge kuwa Serikali imepata taarifa hizo kupitia vyombo vya habari, na kwamba tayari wameanza uchunguzi na baadaye watatangaza matokeo.
Kashfa uporaji ardhi kubwa…
Pinda ahusishwa
*Mmoja wa washirika ajitoa kuepuka aibu
*Ni Chuo Kikuu cha Iowa cha Marekani
*Yabainika wanaleta teknolojia hatari nchini
Waziri Mkuu Mizengo Pinda, ameendelea kubanwa kuhusu uamuzi wake wa kuwasaidia Wamarekani kujitwalia ekari laki nane za ardhi kwa miaka 99 mkoani Katavi.
Anayetuhumiwa kumteka Dk. Ulimboka azungumza
*Ni Kamanda Msangi anyeongoza Tume ya kuchunza utekaji ulivyotokea
*Ujumbe wasambazwa kuwa ndiye alimpora simu ya mkononi na ‘wallet’
*Yeye asema amekatishwa tamaa, Professa Museru aeleza alichosikia

Askari anayetuhumiwa kumteka Mwenyekiti wa Jumuiya ya Madaktari Nchini, Dk. Stephen Ulimboka, Kamishna wa Polisi Msaidizi (ACP), Ahmed Msangi, amehojiwa na kuzungumzia kilichotokea kuhusiana na tuhuma kwamba aliambiwa arejeshe simu ya mkononi na pochi ya Dk. Ulimboka.
Twende tuwekeze Sudan Kusini – Jenerali Kisamba
*Saruji, ngano, vifaa vya ujenzi, alizeti vinahitajika *Asema majirani zetu wameshaanza kunufaika mno Ushauri umetolewa kwa Tanzania na Watanzania kuamka na kuchangamkia fursa za uwekezaji na biashara zilizojitokeza katika taifa jipya la Sudani Kusini. Ushauri huo umetolewa na…
- Injinia Mwalugaja aongoza mapinduzi ya uwekezaji Katavi
- TCU yasitisha udahili wa shahada ya udaktari MzU 2025/26
- Katambi: EACLC leteni wafanyabiashara wenye teknolojia na ujuzi ambao haupo nchini
- Ubora wa CBE wazidi kuongezeka kimataifa
- Serikali ya Tanzania si ya kuamrishwa wala kupewa maelekezo – Rais Samia
Habari mpya
- Injinia Mwalugaja aongoza mapinduzi ya uwekezaji Katavi
- TCU yasitisha udahili wa shahada ya udaktari MzU 2025/26
- Katambi: EACLC leteni wafanyabiashara wenye teknolojia na ujuzi ambao haupo nchini
- Ubora wa CBE wazidi kuongezeka kimataifa
- Serikali ya Tanzania si ya kuamrishwa wala kupewa maelekezo – Rais Samia
- Nchi yetu inaongozwa kwa misingi ya katiba na sheria na sio madhehebu ya dini – Dk Samia
- NMB yatoa 500m/- kusaidia matibabu ya moyo ya watoto 125 nchini
- Tutaendelea kuilinda Tanzania na usalama wa raia na mali zao – Rais Dk Samia
- Mawaziri, viongozi wa dini na wazee wa Mkoa wa Mkoa wa Dar es Salaam wakiwa katika kikao cha JNICC
- Rais Samia : Walioandaa vurugu walidhamiria kuangusha dola ya nchi yetu
- Desemba 9, tuepuke “Kaliba kashaija…”
- Kunenge : Bodaboda wote wapewe mafunzo ya usalama barabarani mkoani Pwani
- Soma Gazeti la Jamhuri Desemba 2-8, 2025
- Wananchi wa Ormekeke Ngorongoro waanza kunufaika na mradi wa maji
- CBE yashika nafasi ya nane ubora vyuo elimu ya juu
