Category: Kitaifa
HOTUBA YA WAZIRI WA ARDHI, NYUMBA NA MAENDELEO YA MAKAZI
DIRA YA WIZARA:
Kuwa na uhakika wa milki za ardhi, nyumba bora na makazi endelevu kwa ajili ya maendeleo ya kiuchumi na kijamii.
DHIMA:
Kuweka mazingira yanayofaa kuleta ufanisi katika utoaji wa huduma za ardhi, nyumba na makazi
Wapinzani wachekelea Pinda kugwaya
Kambi Rasmi ya Upinzani Bungeni imeeleza kufarijika na kauli ya Waziri Mkuu Mizengo Pinda kwamba kampuni ya Agrisol haijapewa ardhi ya Katumba na Mishamo mkoani Katavi.
Sasa umefika wakati wa vitendo-Tibaijuka
[caption id="attachment_195" align="alignleft" width="160"]
Profesa Anna Tibaijuka[/caption]Wizara ya Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi imesema kuanzia sasa inachofanya ni vitendo tu katika kukabiliana na wavunjifu wa sheria za ardhi, wakiwamo wavamizi wa maeneo yasiyoruhusiwa kujengwa.
Tibaijuka anguruma
[caption id="attachment_191" align="alignleft" width="189"]
Profesa Anna Tibaijuka[/caption]*Akomesha viji-zawadi vya wawekezaji
*Wananchi kumiliki hisa kwenye ardhi
*Kigamboni kujengwa kwa trilioni 16
HATIMAYE Serikali imeridhia kufanya mabadiliko makubwa kwenye umiliki wa ardhi kwa kuwabana wawekezaji wanaojitwalia ardhi kubwa kwa kutoa viji-zawadi vidogo vidogo kwa halmashauri, vijiji na wananchi.
Dozi ya Magufuli kwa viongozi wenzake
Suala la Dar es Salaam ni “very complex” na mimi nataka niwe muwazi na nataka nizungumze kwa ukweli. Ujenzi wa barabara za Dar es Salaam zina matatizo sana .
Habari mpya
- Newala kunufaika na umeme wa uhakika
- Serikali yatangaza neema kwa wakulima kupitia visima vya umwagiliaji
- Masauni awahamasisha wananchi kunufaika na biashara ya hewa ya ukaa
- ECSA- HC yatoa milioni 211/- kufanikisha kambi ya madaktari bingwa Tanzania
- Rais Samia aondoka nchini kuelekea Accra, Ghana
- Dk Mwigulu : Afrika igeuze mabadiliko ya dunia kuwa fursa za maendeleo
- Washindi Tuzo ya Kiswahili ya Safal kujulikana Ijumaa
- CHADEMA kabla ya kunyooshea wengine kidole…
- Kikwete aitaka Afrika kubadili ahadi za afya kuwa utekelezaji wenye bajeti
- Watendaji Manispaa ya Ubungo wapongezwa ubunifu wa ununuzi wa mitambo
- Waziri Kombo akutana na Katibu Mkuu wa OACPS, wazungumzia mageuzi na ushirikiano wa kimkakati
- Tusiwape watoto urithi wa hasira
- Lissu bado mwiba
- Masauni aagiza usimamizi imara wa mazingira kwenye viwanda Pwani
- Soma Gazeti la Jamhuri la Julai 21 -27, 2026
Copyright 2025
Cookie Consent
We use cookies to improve your experience on our site. By using our site, you consent to cookies.
Cookie Preferences
Manage your cookie preferences below:
Essential cookies enable basic functions and are necessary for the proper function of the website.



