Category: Kitaifa
‘Majaji ndiyo waliomtuma Lissu’
Hotuba kali ya Tundu Lissu ya kukosoa uteuzi wa majaji dhaifu uliofanywa na Rais Jakaya Kikwete, imeelezwa kwamba ina baraka zote za baadhi ya viongozi waandamizi wa Mhimili wa Mahakama, JAMHURI limeelezwa.
HOTUBA YA WAZIRI WA ARDHI, NYUMBA NA MAENDELEO YA MAKAZI
DIRA YA WIZARA:
Kuwa na uhakika wa milki za ardhi, nyumba bora na makazi endelevu kwa ajili ya maendeleo ya kiuchumi na kijamii.
DHIMA:
Kuweka mazingira yanayofaa kuleta ufanisi katika utoaji wa huduma za ardhi, nyumba na makazi
Wapinzani wachekelea Pinda kugwaya
Kambi Rasmi ya Upinzani Bungeni imeeleza kufarijika na kauli ya Waziri Mkuu Mizengo Pinda kwamba kampuni ya Agrisol haijapewa ardhi ya Katumba na Mishamo mkoani Katavi.
Sasa umefika wakati wa vitendo-Tibaijuka
[caption id="attachment_195" align="alignleft" width="160"]
Profesa Anna Tibaijuka[/caption]Wizara ya Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi imesema kuanzia sasa inachofanya ni vitendo tu katika kukabiliana na wavunjifu wa sheria za ardhi, wakiwamo wavamizi wa maeneo yasiyoruhusiwa kujengwa.
Tibaijuka anguruma
[caption id="attachment_191" align="alignleft" width="189"]
Profesa Anna Tibaijuka[/caption]*Akomesha viji-zawadi vya wawekezaji
*Wananchi kumiliki hisa kwenye ardhi
*Kigamboni kujengwa kwa trilioni 16
HATIMAYE Serikali imeridhia kufanya mabadiliko makubwa kwenye umiliki wa ardhi kwa kuwabana wawekezaji wanaojitwalia ardhi kubwa kwa kutoa viji-zawadi vidogo vidogo kwa halmashauri, vijiji na wananchi.
Habari mpya
- Taasisi ya OMDTZ yawezesha kata tano kuwa na mipango ya kukabili mafuriko Dar
- Prof. Shemdoe aweka jiwe la msingi ujenzi wa madarasa Lindi
- Darling yakuza mitaji ya wasusi
- Wahitimu wa vijijini wahimizwa kuomba ufadhili wa Nuru Yangu
- Dk Mwigulu : Mfumo wa ununuzi pamba ujulikane ndani ya mwezi mmoja
- Rais wa Barcelona atuma salamu za pole kwa Rais Samia
- Masauni : Watanzania epukeni gesi zinazoharibu tabaka la Ozoni
- Rais Mstaafu Dk Kikwete ahitimisha ziara Tabora, akagua miradi ya afya ya JMKF
- Tanzania, Japan kuendeleza ushirikiano katika maeneo ya kimkakati
- Bandari, TRA ni njia, siasa zetu zigeukie uchumi
- Tume ya Utumishi wa Umma yaipa kongole Wizara ya Nishati kuzingatia sheria, kanuni
- Soma Gazeti la Jamhuri Septemba 15 – 21, 2026
- Tanzania Yapiga Hatua Kubwa Katika Ujenzi wa Miundombinu ya Digital
- NMB yaingia 10 bora duniani kwa benki zenye mali ya dola bilioni 3–10
- TBS Yatahadharisha matumizi ya vipodozi vyenye viambata sumu
Copyright 2025
Cookie Consent
We use cookies to improve your experience on our site. By using our site, you consent to cookies.
Cookie Preferences
Manage your cookie preferences below:
Essential cookies enable basic functions and are necessary for the proper function of the website.


