Category: Kitaifa
Vigogo wa bilioni 300 wakalia kuti kavu
Waziri Mkuu Mizengo Pinda amesema vyombo vya dola vimeanza kuchunguza taarifa za kuwapo kwa zaidi ya Sh bilioni 300 zilizofichwa katika benki nchini Uswisi.
Pinda ameliambia Bunge kuwa Serikali imepata taarifa hizo kupitia vyombo vya habari, na kwamba tayari wameanza uchunguzi na baadaye watatangaza matokeo.
Kashfa uporaji ardhi kubwa…
Pinda ahusishwa
*Mmoja wa washirika ajitoa kuepuka aibu
*Ni Chuo Kikuu cha Iowa cha Marekani
*Yabainika wanaleta teknolojia hatari nchini
Waziri Mkuu Mizengo Pinda, ameendelea kubanwa kuhusu uamuzi wake wa kuwasaidia Wamarekani kujitwalia ekari laki nane za ardhi kwa miaka 99 mkoani Katavi.
Anayetuhumiwa kumteka Dk. Ulimboka azungumza
*Ni Kamanda Msangi anyeongoza Tume ya kuchunza utekaji ulivyotokea
*Ujumbe wasambazwa kuwa ndiye alimpora simu ya mkononi na ‘wallet’
*Yeye asema amekatishwa tamaa, Professa Museru aeleza alichosikia

Askari anayetuhumiwa kumteka Mwenyekiti wa Jumuiya ya Madaktari Nchini, Dk. Stephen Ulimboka, Kamishna wa Polisi Msaidizi (ACP), Ahmed Msangi, amehojiwa na kuzungumzia kilichotokea kuhusiana na tuhuma kwamba aliambiwa arejeshe simu ya mkononi na pochi ya Dk. Ulimboka.
Twende tuwekeze Sudan Kusini – Jenerali Kisamba
*Saruji, ngano, vifaa vya ujenzi, alizeti vinahitajika *Asema majirani zetu wameshaanza kunufaika mno Ushauri umetolewa kwa Tanzania na Watanzania kuamka na kuchangamkia fursa za uwekezaji na biashara zilizojitokeza katika taifa jipya la Sudani Kusini. Ushauri huo umetolewa na…
Kashfa uporaji ardhi kubwa Pinda ahusishwa
*Mmoja wa washirika ajitoa kuepuka aibu
*Ni Chuo Kikuu cha Iowa cha Marekani
*Yabainika wanaleta teknolojia hatari nchini
[caption id="attachment_124" align="alignleft" width="160"]
Waziri Mkuu Mizengo Pinda[/caption]Waziri Mkuu Mizengo Pinda ameendelea kubanwa kuhusu uamuzi wake wa kuwasaidia Wamarekani kujitwalia ekari laki nane za ardhi kwa miaka 99 mkoani Katavi.
- ACT yaomba Serikali ipunguze tozo kutokana hali ya maisha
- Waziri Kapinga : Ushirikiano wa Tanzania na EU ufungue milango ya kiuchumi na sio utegemezi
- CHADEMA Pwani yataka maeneo ya umma yapimwe kuepusha migogoro ya ardhi
- TANESCO yazindua rasmi zoezi la ulipwaji fidia kwa wananchi Lindi na Mtwara
- CRDB yaendelea kung’ara katika uwekezaji wa kimkakati Soko la Hisa DCE
Habari mpya
- ACT yaomba Serikali ipunguze tozo kutokana hali ya maisha
- Waziri Kapinga : Ushirikiano wa Tanzania na EU ufungue milango ya kiuchumi na sio utegemezi
- CHADEMA Pwani yataka maeneo ya umma yapimwe kuepusha migogoro ya ardhi
- TANESCO yazindua rasmi zoezi la ulipwaji fidia kwa wananchi Lindi na Mtwara
- CRDB yaendelea kung’ara katika uwekezaji wa kimkakati Soko la Hisa DCE
- Rais Samia anaendelea kupeleka furaha na neema kwa watumishi wa umma Tanzania – Kikwete
- Polisi yamkamata mmiliki wa eneo la Vikawe lililosababisha vifo vya watu wawili
- Chem Chem Safari ya Tanzania yaingia katika ushirikiano na Auberge, wadhamiria kulinda mazingira
- Legendary Expeditions, yaingia mkataba wa ushirikiano na kampuni ya Auberge Collection
- Jaji Mkuu Masaju kuzindua kitabu cha Ushairi cha Wakili Msomi Aisha Kingu Jumapili
- Dodoma yapongezwa kwa mpango wa kupeleka walimu Korea Kusini
- Waziri Mkuu: Serikali yaendelea kuhakikisha mafuta hayaadimiki nchini
- Vyuo 263 vya ufundi kusajiliwa kuongeza fursa za mafunzo ya ufundi
- IPI yawateua mabalozi 500 wa kuitangaza amani ndani na nje ya nchi
- EWURA CCC Kagera yafanikiwa kuwafikia wananchi 1134

