JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Category: Kitaifa

‘Viwanda vinavyotekeleza shughuli zake bila taratibu vichukuliwe hatua’

KAMATI ya Kudumu ya Bunge Viwanda, Biashara na Mazingira imeitaka Serikali kuvichukulia hatua za kisheria Viwanda vyote vinavyotekeleza shughuli zake bila kufuata taratibu za kimazingira. Agizo hilo limetolewa na Mwenyekiti wa Kamati hiyo David Kihenzile mara baada ya ziara ya…

Rais Samia azindua Chama cha Mawakili wa Serikali

Rais Mhe. Samia Suluhu Hassan azindua Chama cha Mawakili wa Serikali, Nembo ya Ofisi ya Mwanasheria Mkuu wa Serikali pamoja na Mfumo Rasmi wa Ofisi hiyo katika Mkutano Mkuu wa Mawakili wa Serikali Jijini Dodoma

Trioni 2.78 kutekeleza miradi ya elimu nchini

Angela Msimbira,JamhuriMedia,Arusha Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Innocent Bashungwa amesema Serikali itatumia kiasi cha shilingi trioni 2. 78 kwa ajili ya utekelezaji wa miradi ya elimu nchini Ameyasema hayo leo tarehe 24…

Airtel Money kutoa Gawio Bil.1.5bn/- kwa Wateja,mawakala

Na Mwandishi Wetu,JamhuriMedia,Dar Kampuni ya simu za mkononi ya Airtel Tanzania imetangaza kuanza kugawa gawio la Tshs 1.5 bilioni kwa Wateja, Mawakala na Wadau kutokana na matumizi yao ya huduma ya Airtel Money . Akizungumza leo Septemba 22,2022 jijini Dar…