JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Category: Kitaifa

Mgombea ubunge Jimbo la Mtumba kwa tiketi ya AAFP aipongeza INEC

Na Magrethy Katengu, JamhuriMedia, Dar es Salaam NAIBU Katibu Mkuu wa Chama Cha Wakulima (AAFP), Mark Isdory Mhemela ameipongeza Tume Huru ya Uchaguzi(INEC) kwa kusimamia vizuri zoezi la uteuzi wa wagombea kuanzia ngazi ya Urais,Ubunge na Udiwani. Akizungumza kwa njia…

Othman : Viongozi wa dini wana haki haki ya kuangalia haki, amani na utulivu

Mwenyekiti wa Taifa wa ACT-Wazalendo Mheshimiwa Othman Masoud Othman, amesema ni wajibu kwa viongozi wa dini kuangalia haki, utulivu na amani ya kweli, wanayoihitaji Wananchi wote, kwaajili ya Maendeleo ya Taifa zima. Amesema, viongozi hao ndio wenye dhima ya kuhakikisha…

Singapore na Tanzania zakubaliana kuimarisha ushirikiano wa kiuchumi

Serikali ya Singapore na Tanzania zimekubaliana kuimarisha ushirikiano wa kimaendeleo na kiuchumi kupitia sekta mbalimbali ikiwemo uendeshaji wa bandari, utalii, sekta ya fedha, usafirishaji, biashara na uwekezaji, elimu na kilimo ili kuchochea kasi ya maendeleo ya Taifa na wananchi wake….

Naombeni ridhaa yenu Jimbo la Mbulu Vijijini nilete mabadiliko -Mgombea CHAUMMA

Mgombea Ubunge wa Jimbo la Mbulu Vijijini Mkoani Manyara, kupitia Chama Cha Ukombozi wa Umma (CHAUMMA) Mwalimu Stephen Siasi, amechukua na kurejesha fomu ya kuomba ridhaa nafasi ya Ubunge katika Ofisi za Halmashauri ya Wilaya ya Mbulu. Mwalimu Siasi amekabidhi…