JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Category: Kitaifa

Ndalichako akagua mradi wa vijana,kitalu nyumba Singida

Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu Kazi, Vijana, Ajira na Wenye Ulemavu Profesa Joyce Ndalichako amekagua mradi wa Kitalu Nyumba wa kilimo cha mbogamboga na matunda wenye thamani ya Sh. 30 Milioni unaotekelezwa Manispaa ya Singiga. Akikagua mradi huo…

Mnyika:Mfumo wa vyama vingi ulitolewa kama zawadi na CCM

Na Mwandishi Wetu,JamhuriMedia,Dar Katibu Mkuu wa chama kikuu cha upinzani nchini Tanzania cha (CHADEMA), John Mnyika amewataka Watanzania kuendelea kupigania katiba mpya kwa sababu ndiyo mkombozi. Hayo ameyasema jijini Dar es Salaam wakati wa kongamano la maadhimisho ya siku ya…

Tanzania yapongezwa kuwa mwanachama hai wa Umoja wa Afrika

Pongezi hizo zimetolewa na Makamu Mwenyekiti wa Kamisheni ya Umoja wa Afrika, MMonique Nsanzabaganwa alipokutana kwa mazungumzo na Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Mhe. Balozi Liberata Mulamula pembezoni mwa Mkutano wa Wanawake na Vijana katika…

Serikali yazungumzia ongezeko la bei ya mahindi, mchele

Serikali imesema kuwa matokeo ya tathmini iliyofanywa katika kipindi cha mwezi Agosti 15 hadi na Septemba 15, mwaka huu yamebainisha ongezeko dogo katika baadhi ya bidhaa za vyakula hususan mchele, mahindi, na maharage. Aidha, kupanda kwa bei za bidhaa hizo…

Kinana atamani viongozi kuitwa ndugu na sio Mheshimiwa

Na Mwandishi Wetu,Jamhurimedia,Dar Makamu Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Kanali Mstaafu Abdulrahman Kinana amewahamasisha viongozi wa Chama hicho kwa ngazi mbalimbali kujenga utamaduni wa kuwatembelea na kuwatambua viongozi wa Shina, Tawi na Kata pamoja na kushiriki vikao vya Chama…

Wananchi Monduli waomba uzio kulinda vyanzo vya maji

Mwandishi wetu,JamhuriMedia,Monduli Wananchi wa Kata ya Selela na Engaruka wilayani Monduli mkoa Arusha,wameomba serikali kuwasaidia kuweka uzio katika vyanzo vya maji vya asili katika maeneo yao ili visiendelee kuharibiwa na wanyamapori. Kata hizo zina vyanzo vya maji vya asili ambazo…