Category: Kitaifa
Mpina : Ninaifahamu kwa kina mizigo ya Watanzania nakwenda Ikulu kuitatua
Mgombea wa Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia Chama cha ACT Wazalendo, Luhaga Mpina, amesema anaifahamu kwa kina mizigo ya Watanzania, ikiwemo changamoto za kilimo, ufugaji, biashara, uchimbaji madini, bodaboda na kusisitiza kuwa amedhamiria kuyatatua mara atakapochaguliwa. Akizungumza…
Shani achukua fomu ya kuwania ubunge Jimbo la Chamanzi kwa tiketi ya AAFP
Na Magrethy Katengu,JamhuriMedia,Dar es Salaam Mgombea wa Jimbo Jipya la Chamanzi kwa Tiketi ya Chama cha Wakulima AAFP Shani Kitumbua amewaomba Wananchi ridhaa ya kumchagua nafasi aliyoimba kwani atakwenda kutatua kero ikiwemo kuisemea barabara ya Kilungule ambayo ni Mbovu,uchache wa…
Ndonge Mguu ndani kinyang’angiro ubunge Jimbo la Mbagala
Na Magrethy Katengu,JamhuriMediaDar es Salaam Mgombea Ubunge Jimbo la Mbagala kupitia Chama Cha Wakulima(AAFP) Ndonge Said Ndonge amesema kwamba endapo Wananchi watampa ridhaa ya kuwa Mbunge wao,atashughulikia kero zote za Mbagala ikiwemo mradi wa fremu anaodai kuwa umejengwa kwenye hifadhi…
Agosti 4 kujulikana ‘mbivu na mbichi’ CCM
Na Mwandishi Wetu CHAMA Cha Mapinduzi (CCM) kimetoa ratiba ya uteuzi wa wagombea wa nafasi za ubunge, uwakilishi, udiwani wa kata/ wadi na viti maalumu kwa ajili ya Uchaguzi Mkuu wa Oktoba mwaka huu. Kwa mujibu wa ratiba hiyo, Agosti…
ACT-Wazalendo : Tunachunguza uhalali wasimamizi wa uchaguzi waliotangazwa
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Kisarawe Chama ACT -Wazalendo kimesema kuwa kimepokea taarifa ya uteuzi wa wasimamizi wa uchaguzi katika ngazi ya majimbo na kimeanza uchunguzi wa kujiridhisha kama wasimamizi hao si makada wa Chama cha Mapinduzi (CCM). Kwa mujibu wa…
CUF: Hatutosusia Uchaguzi Mkuu, badala yake tutashiriki kikamilifu
Na Mwandishi Wetu, Mtwara Chama cha Wananchi (CUF) kimesema hakitasusia uchaguzi mkuu unaotarajiwa kufanyika Oktoba 2025 badala yake kitashiriki kikamilifu zoezi hilo. Hayo yalibainishwa wakati wa mkutano wa hadhara wa kitaifa wa chama hicho Jimbo la Mtwara Mjini uliyofanyika Manispaa…