JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Category: Kitaifa

Mwelekeo mpya

*Rais Samia avunja usiri wa mikopo serikalini *Aanika kiasi ilichokopa serikali, matumizi yake *Wingi wa miradi kuchemsha nchi miezi 9 ijayo *PM asema ‘kaupiga mwingi’ 2025 – 2030 mtelezo DODOMA Na Mwandishi Wetu Rais Samia Suluhu Hassan ameweka mwelekeo mpya…

Vigogo wanavyotafuna nchi

DAR ES SALAAM Na Dennis Luambano Vigogo 456 wakiwamo marais wastaafu na waliopo madarakani, mawaziri wakuu wa zamani, mabalozi, wauzaji wa dawa za kulevya, mabilionea, wasanii na wana michezo maarufu, wafalme, wanasiasa na viongozi waandamizi serikalini katika nchi 91 wamebainika…

Mkurugenzi MOI amfurahisha Majaliwa

LINDI Na Aziza Nangwa Waziri Mkuu Kassim Majaliwa amempongeza Mkurugenzi Mtendaji wa Taasisi ya Mifupa Muhimbili (MOI), Dk. Respicious Boniface, kwa kuwasogezea huduma za kibingwa wakazi wa mikoa ya kusini. Akizungumza katika ziara yake mkoani Lindi alikotembelea Hospitali ya St….

Maswali ajira Uhamiaji 

*Wananchi wahoji kwa nini kazi wapewe wenye ufaulu hafifu *Ni baada ya Jeshi la Polisi kuwakata vijana wenye Divisheni I na II DAR ES SALAAM Na Mwandishi Wetu Idara ya Uhamiaji nchini imetangza nafasi 350 za ajira kwa vijana waliomaliza…

Utata wa taalamu wa kigeni kukamatwa

DAR ES SALAAM Na Dennis Luambano Kukinzana na kugongana kwa taratibu na sheria kati ya idara mbili nyeti za serikali kumesababisha wataalamu saba kutoka nje ya nchi kufikishwa mahakamani. Kwa mujibu wa taarifa zilizolifikia gazeti hili, wataalamu hao saba waliletwa…

Corona yaua 700 nchini

DAR ES SALAAM Na Mwandishi Wetu Serikali imeanza kutoa takwimu za mwenendo wa ugonjwa wa homa kali ya mapafu unaosababishwa na virusi vya corona unaofahamika kwa jina la UVIKO-19, zikionyesha kuwa watu 719 wamekwisha kufariki dunia kutokana na ugonjwa huo…