JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Category: Uchumi

Mabadiliko tabia nchi yachangia kuua mifugo,wanyamapori Longido

Mwandishi Wetu,JamhuriMedia,Arusha Mabadiliko ya tabia nchi,yameua mifugo na wanyamapori zaidi ya 38,72 kwa kukosa maji na malisho, wilaya ya Longido mkoa wa Arusha. Afisa Mifugo na Mabadiliko ya tabia nchi wa Halmashauri ya Wilaya ya Longido,Nestory Daqarro alitoa taarifa hiyo,…

Kinana apokea lundo la malalamiko ya wavuvi ziwa Victoria

Na Mwandishi Wetu,JamhuriMedia,Mwanza MAKAMU Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Tanzania Bara, Kanali Mstaafu Abdulrahman Kinana amepokea malalamiko 13 ya wavuvi wa samaki katika Ziwa Victoria ikiwemo utitiri wa kodi pamoja na mateso wanayoyapata wavuvi wanapokuwa ziwani ambapo yote hayo…

DAWASA yatenga trilioni 1.029/-kutekeleza miradi ya maji

Na Mwandishi Wetu,JamhuriMedia SERIKALI kupitia Mamlaka ya Majisafi na Usafi wa Mazingira Dar es Salaam (DAWASA), imetenga sh. trilioni 1.029 kutekeleza miradi ya maji 13 ya kimkakati katika mwaka wa fedha 2022/2023. Hayo yamesemwa leo Agosti 13,2022 jijini Dodoma na…

Asilimia 17 ya umeme unapotea kinyemela Zanzibar

Na Mwandishi Wetu,JamhuriMedia ASILIMIA 17 ya umeme unaopotea Zanzibar kutokana na baadhi ya watu kuunga umeme kinyume na sheria hali ambayo inapelekea nchi kukosa mapato. Waziri wa Maji,Nishati na Madini Shaibu Kaduara amesema wanaotumia umeme kinyume na Sheria ni kosa…