UchumiSpika Tulia akafanya mazungumzo na katibu mkuu Umoja wa Mabunge Duniani Jamhuri2 years ago2 years ago01 mins Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Tulia Ackson, akisalimiana na Katibu Mkuu wa umoja wa Mabunge Duniani (IPU), Mhe. Martin Chungong wakati wa Mkutano wa 65 wa Chama cha Mabunge ya Jumuiya ya Madola – (CPA) unaofanyika katika Ukumbi wa Kituo cha Mikutano cha Kimataifa Halifax, Nova Scotia Nchini Canada Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Tulia Ackson, akisalimiana na Spika wa Bunge la Zambia, Mhe. Nally Mutti wakati wa Mkutano wa 65 wa Chama cha Mabunge ya Jumuiya ya Madola – (CPA) unaofanyika katika Ukumbi wa kituo cha Mikutano cha Kimataifa Halifax, Nova Scotia Nchini Canada leo Agosti 26, 2022 Post Views: 15 Post navigation Previous: Rais Zanzibar akutana na Waziri Mambo ya Nje IranNext: Watoto wanne wafariki kwa kuungua moto uliowashwa na mganga wa kienyeji
LHRC yafungua shauri la kupinga utaratibu uliotumika kupitisha tozo za kielektroniki Jamhuri2 years ago2 years ago 0