JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Category: Michezo

Ligi ya Bundesliga kubadilishwa

Berlin, Germany Mchezaji wa zamani wa klabu ya Bayern Munich ya Ujerumani, Stefan Effenberg, amesema kuna haja ya mfumo wa ligi ya nchi hiyo kufanyiwa marekebisho kwa manufaa ya klabu na timu ya taifa ya nchi hiyo. Amesema ligi ya nchi hiyo…

FULL TIME MWADUI FC VS SIMBA SC(2-2)

Refa anapuliza filimbi kuanshilia mtanange unaanza na Mwadui  ndio wanaanza mpira. Dakika ya 1:  simba wanarusha mpira. Dakika ya 8 : faulo kuelekea lango la mwadui Dakika ya 9: Goooooooooooo Boko anawanyanyua mashabiki vitini, simba 1 Dakika ya 11: Simba…

SIMBA SC KAZINI TENA LEO KUUMANA NA MWADUI FC

Timu ya Simba leo inashuka dimbani kwenye mchezo wa Ligi kuu Tanzania Bara kuumana na Mwadui Fc kwenye uwanja wa CCM Kambarage, Shinyanga. Simba ndio vinara wa ligi hiyo baada ya kujikusanyia point 41 ikiwa imecheza michezo 17, huku mwadi…

Usajili wachezaji wa kigeni uzingatie vigezo

NA MICHAEL SARUNGI Usajili wa wachezaji wa kigeni usiozingatia vigezo vinavyotakiwa umesababisha klabu nyingi zinazocheza Ligi ya Vodacom Tanzania Bara kujikuta zikisajili wachezaji wasiokuwa na viwango na kusababisha kukosa nafasi za kucheza na kuishia kukaa benchi. Wakizungumza na JAMHURI kwa…

Mauricio asema Kane ni ‘jembe’ la Spurs

Ushindi wa goli moja la Tottenham dhidi ya Arsenal wiki iliyopita, linamshawishi Meneja wa timu hiyo, Mauricio Pochettino kumtaja mfungaji wake, Harry Kane kuwa ni ‘jembe’ la sasa na baadaye kwa timu hiyo. Akitumia urefu wake, Kane aliiwezesha timu yake…

MWAKYEMBE: KWA SIMBA HII, SASA TANZANIA TUNAELEKEA KUWA KICHWA CHA MUUNGWANA, NA SI CHA MWENDAWAZIMU

    Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo, Dkt Harrison Mwakyembe ameeleza kufurahishwa na mchezo wa Kombe la Shirikisho Africa kati ya Simba SC na Gendarmerie ya nchini D’jbout ambapo Simba iliibuka kidedea kwa kuichapa timu hiyo mabao 4…