Category: Michezo
FIFA:Yanga walistahili ushindi pia, CAF angalieni upya goli la ugenini
Na mwandishi Wetu Jamhuri Media Rais wa Shirikisho la Mpira wa miguu Duniani (FIFA) amelitaka Shirikisho la Mpira wa miguu Barani Afrika (CAF) kuangalia upya kanuni la goli la ugenini kwa kuwa linaunyima uhalali wa usawa wa point na usawa…
Rais Samia awataka Yanga waboreshe maslahi ya wachezaji, wamalize mzozo wa Fei Toto
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Samia Suluhu Hassan amewataka viongozi na wadhamini wa Young Africans SC kuwaboreshea wachezaji maslahi yao sanjari na kuwakumbusha kukaa meza moja kufanya mazungumzo na Kiungo Feisal Salum (Feitoto). Rais Samia amesema hayo…
Yanga yashindwa kufurukuta mbele ya USM Alger
Klabu ya Yanga imeshindwa kufurukuta mbele ya wapinzani wao USM Alger ya nchini Algeria baada ya kuokea kichapo cha mabao 2-1 kwenye mchezo ambao ulipigwa kwenye dimba la Benjamini Mkapa Jijini Dar es Salaam. Licha Yanga kuutawala mchezo katika kipindi…
Ushirikiano wa Tanzania na Afrika Kusini kuimarika kupitia sekta ya utamaduni, sanaa na michezo
Ujumbe wa Wizara ya Utamaduni, Sanaa na Michezo ya Tanzania ukiongozwa na Katibu Mkuu Bw. Saidi Yakubu wamekutana na kufanya kikao cha pamoja na Wizara ya Michezo, Sanaa na Utamaduni ya Afrika Kusini na kubadilishana uzoefu ili kuboresha sekta hizo…
Wanamichezo wa JWTZ waibuka kidedea mashindano ya Majeshi Duniani
Na Immaculate Makilika, JamhuriMedia- MAELEZO Serikali imesema kuwa Jeshi la Wananchi wa Tanzania (JWTZ) imeshiriki katika michezo mbalimbali ndani na nje ya nchi ikiwemo mashindano ya Dunia ya Michezo ya Majeshi yaliyofanyika Ujerumani, mwezi Julai 2022, Michezo ya Jumuiya ya…
Tanzania kuomba kuwa mwenyeji wa Mashindano ya AFCON mwaka 2027
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania,Samia Suluhu Hassan kwa kushirikiana na Kenya na Uganda kupitia Pamoja Bid wamedhamiria kuwa mwenyeji wa michuano ya Fainali za Kombe la Mataifa ya Afrika (African Cup of Nations) 2027. Rais Samia amesema nchi…