JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Category: Michezo

Suarez agoma kuiomba msamaha Ghana

Mchezaji wa Uruguay, Luis Suarez (31), amesema kamwe hawezi kuomba msamaha kwa kushika kwa mkono mpira uliokuwa unaingia golini kwao katika mechi yao ya Kombe la Dunia dhidi ya Ghana mwaka 2010 nchini Afrika Kusini. Watu wengi wamekuwa wakimtaka Suarez…

Afrika yaandika rekodi kombe la Dunia Qatar 2022

Nchi za Afrika kwa ujumla wake zimefanikiwa kupata ushindi kwa zaidi ya mechi 3 katika hatua ya makundi ya Kombe la Dunia ambapo katika Michuano ya Kombe la Dunia inayoendelea nchini Qatar nchi za Afrika zimepata ushindi katika mechi 4.  …

Morocco kuongeza idadi ya timu za Afrika 16 bora kombe la Dunia?

Na mwandishi wetu Saa 12:00 jioni ya leo waafrika wengi watakuwa mbele ya televisheni zao wakiangalia mechi ya Kombe la Dunia kati ya Morocco na Canada kwa matumaini makubwa ya kuona timu nyingine toka Afrika ikifuzu hatua ya 16 Bora…

Tanzania Prison yawekewa Milioni 20 mezani kuiua Yanga

Na Mwandishi Wetu Wadhamini wa ‘wajelajela’ Tanzania Prisons ya Mbeya, Silent Ocean, wametoa ahadi ya milioni 20 kwa wachezaji wa timu hiyo ikiwa watafanikiwa kupata ushindi dhidi ya Yanga SC katika mechi ya Ligi Kuu Tanzania Bara siku ya Jumapili…

Henderson awasikitikia Salah, Sadio Mane kutokushiriki kombe la Dunia

Nahodha wa Liverpool na mchezaji wa timu ya taifa ya Uingereza, Jordan Henderson, ameeleza masikitiko yake kwa Sadio Mane na Mohamed Salah baada ya wachezaji hao kushindwa kushiriki Michuano ya Kombe la Dunia inayoendelea huko nchini Qatar.  Mohamed Salah ameshindwa…

Vigogo wa ligi kuu wapangiwa wapinzani kombe la shirikisho la Azam

Droo ya hatua ya pili ya Michuano ya Kombe la Shirikisho la Azam imefanyika hii leo ambapo vigogo wa ligi kuu Tanzania Bara wameingizwa katika ratiba hiyo baada ya kutohushishwa katika hatua ya kwanza.   Simba SC watakutana uso kwa uso…