Huku Simba, kule Chalenji, tutampata mkali wetu?
NA CHARLES MATESO Bilionea wa Simba, Mohammed Dewji ‘Mo’ bado ana kazi kubwa pamoja na ‘sifa’ nyingi za kuwekeza katika uwanja wa Simba Complex, uliopo Bunju, Dar es Salaam. Utazalisha nini? Hilo ndilo swali la msingi la kujiuliza. Una vigezo vyote au mbwembe tu za Watanzania? Nalo pia unatakiwa kujiuliza. Maswali ni mengi, majibu ni…