JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Category: Michezo

Utata kufutwa Gwambina FC

Na Mwandishi Wetu, Jamhuri Misungwi Takriban mwezi mmoja tangu kutangazwa kufutwa kwa timu ya soka ya Gwambina ya Misungwi mkoani Mwanza kwa madai ya mmiliki wake kukerwa na mwenendo wa maofisa wa Shirikisho la Soka nchini (TFF), undani wa tukio…

Wizara ya Maliasili yamuunga mkono rais, yatoa milioni 2 ushindi wa Yanga

Na John Mapepele,JamhuriMedia Wizara ya Maliasili na Utalii,imemuunga mkono Rais wa Jamhuri wa Muungano wa Tanzania.Dkt. Samia Suluhu Hassan kuipongeza Yanga katika ushindi wake wa leo dhidi ya TP Mazembe katika Kombe la Shirikisho. Katika mechi iliyochezwa katika Uwanja wa…

Timu ya Majimaji bado kioo cha Mkoa wa Ruvuma

Majimaji ni miongoni mwa timu maarufu za soka hapa nchini ambayo ina historia ndefu ukiachia timu za Simba na Yanga ambazo zimedumu kwa muda wote zikicheza ligi kuu bara na kuwa na wapenzi lukuki kila kona ya nchi yetu. Hakuna…

KMC FC kuwafuata Ruvu Shooting na wachezaji 22

Kikosi cha wachezaji 22,viongozi pamoja na benchi la ufundi kitaondoka jijini Dar es Salaam leo kuelekea mkoani Morogoro kwa ajili ya mchezo wa Ligi Kuu ya NBC soka Tanzania Bara dhidi ya Ruvu Shooting utakaochezwa siku ya Jumapili Februali tano…

Majaliwa asisitiza wabunge kushiriki michezo

Waziri Mkuu Kassim Majaliwa leo Jumamosi, Januari 28, 2023 ameshiriki Bunge Bonanza lililofanyika katika viwanja vya shule ya msingi na sekondari ya John Merlin ya jijini Dodoma ambapo ametumia fursa hiyo kuwasisitiza wabunge na wananchi wengine washiriki katika michezo ili…