Waziri wa Utamaduni, Sanaa na Michezo, Balozi Dk. Pindi Chana amemteua Mkurugenzi wa Michezo, Ally Mayay Tembele kuwa Mwakilishi wa Tanzania kwenye Bodi ya Ushauri ya Michezo ya Jumuiya ya Madola (CABOS).

By Jamhuri